kaka nashukuruni sana kwa msaada enu,nashukuru Mungu vimekauna tatzo lilikua kwel ni scabies ,wamenitesa mwaka mzima na saiv nimepona kabisa vimekauka byote
ndugu samahani kwa picha iyo ila mwenzenu ilo ni tatizo ambalo lina nisumbua kwa mda mrefu ivyo ni vitu ambavyo ninavyo mda mrefu nimejaribu kupitia kwa wataharamu mbalimbali ila tatizo bado, 'mejaribu kupima kaswende na vvu ila ckua navyo., nika pigwa sindano 5 va mkononi ila tatzo likawa bado...
kaka ulipona kwa dawa zipi mana ata mm na tatizo ilo
sis tuna tatzo ilo ka lako ila tuko mkoa wa mbali uku mabigwa wa ngozi hatuna tuna maduka ya dawa tuh nimepaka scaboma ila tatzo bado cjui sasa iyo dawa ya kidonge labda ndo labda ingekua msada vzr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.