Recent content by CyberAvatar

  1. CyberAvatar

    SoC02 Nimesoma shule za kawaida nikiwa sisikii vizuri. Changamoto zilizopo ni uhaba na ukosefu wa mafunzo ya lugha za alama

    Mimi ni kiziwi pia nimeupata ukiziwi nikiwa na miaka 5 nimeanza kujifunza lugha ya alama nikiwa shule ya msingi Meru kitengo cha viziwi kilichopo jijini Arusha, nimeenda sekondari (Tanga Technical School) hakuna lugha ya alama kabisa lakini nikafanikiwa kuenda chuo (IAA) kule nako hakuna lugha...
Back
Top Bottom