Recent content by Crosby

  1. Crosby

    SoC02 Nilichojifunza kuhusu U-Simba na U-Yanga ndani ya ligi yetu

    Yanga (Young Africans Sport Club), ni klabu moja wapo ya mpira wa Tanzania iliyoanzishwa 1935 ambapo makao makuu yakiwa Jangwani Kariakoo, Dar es Salaam. Ikiongonzwa na Rais Engineer Hersi Ally Said .Wakiwa mabingwa wa kihistoria mara ishirini na nane 28. Simba (Simba Sports Club), ni klabu...
  2. Crosby

    SoC02 Chozi la Msomi

    Kalunya [emoji28][emoji28] unaUpiga mwingi
  3. Crosby

    SoC02 Chozi la Msomi

    [emoji39][emoji39][emoji39]hizi Ndo aina ya mada , vinayotakiwa kuwekwa kwenye mtaala mpya [emoji1316]
  4. Crosby

    SoC02 Chozi la Msomi

    Umeongea kweli Kalunya lakini shida Sio msomi Kwa mm navyoona shida ni mfumo Au mtaala wa Elimu yetu aiwajengi wawe hivo
  5. Crosby

    SoC02 Chozi la Msomi

    Msomi ni mtu aliyemaliza elimu ya chuo kikuu kuanzia walau degree moja. Tunapozungumzia msomi ni mtu ambaye ameandaliwa ili aweze kutatua changamoto za jamii kutumia elimu yake aliyo ipata shuleni. Kila mwaka idadi ya wasomi nchini inazidi kuongezeka, hii upelekea kuwa na wasomi wengi nchini...
Back
Top Bottom