Asante pia na hongera wa kua muelewa mm adi sasa napata matusi adi nafikia kujuta kwann niliandika Uzi huu ulionipata sijui watu wengine wanamaana gani hua wanapenda kuona watu wanaendelea na kua watumwa wa haya matatizo walikua wanajua mm nitaitaji pesa kwa RAIA hapana mm kutaka formula za watu...
Pole broo fuatilia baadhi ya Uzi nilizoeka kupona upungufu na formula ya kupona ila najua we bado hujapata madhara unataka kuacha zipo njia unaweza acha kabisa na wala usiwe unafikiria sema na moyo wako kwanza kua unaacha than nitakuekea Uzi njia ya kuacha punyeto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ndo tatzo LA watanzania sasa kama unaumwa unafanyaje wengine wanauziwa formula ama madaya ya kuchanganya zaid ya laki 3 we umepewa bure unalalamika garama au na garama pia nikupe mm kama unamatatizo hautaweza sema ivi we mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.