Recent content by confused

  1. C

    Wapi naweza pata huduma ya kupima UKIMWI kwa kesho jpili

    oky guys, nimeenda and i tested negative.. but i had hiv exposure, tommorrow inshallah iam going to start PEP for hiv.. i do hope for the best inshallah
  2. C

    wadau when will hiv be cured???

    I believe wanayo hawajaaamua kuitoa tu
  3. C

    Wapi naweza pata huduma ya kupima UKIMWI kwa kesho jpili

    Bado siajenda wadau mpaka sasa hv
  4. C

    wadau when will hiv be cured???

    siku watakayoamua kutoa dawa when wakishamake enough money
  5. C

    Wapi naweza pata huduma ya kupima UKIMWI kwa kesho jpili

    nitaleta.. niambieni basi wapi nitapata hiyo huduma kwa kesho
  6. C

    Wapi naweza pata huduma ya kupima UKIMWI kwa kesho jpili

    nimekupm kaka, please open inbox yako
  7. C

    Wapi naweza pata huduma ya kupima UKIMWI kwa kesho jpili

    bibie jina hili ni kutokana na hali halisi ilivyosasa hv
  8. C

    Wapi naweza pata huduma ya kupima UKIMWI kwa kesho jpili

    yeah.. i know that man.. je wajua sehemu yoyote nitakayopata hiyo huduma kwa bei ya ahueni?
  9. C

    Wapi naweza pata huduma ya kupima UKIMWI kwa kesho jpili

    Kaka hiyo 27 ni kwa mtu mmmoja? na je inachukua muda gani kupata majibu? maana parefu hapo.. sehemu gani nyengine ambayo ni ya bei nafuu?
  10. C

    Wapi naweza pata huduma ya kupima UKIMWI kwa kesho jpili

    Niko dar, maeneo ya mkwajuni..naomba muniambie sehemu ambayo kesho naweza kupata hiyo huduma na kwa bei nafuu.. Ni muhimu saana kupata hiyo huduma kesho
  11. C

    Wapi naweza pata huduma ya kupima UKIMWI kwa kesho jpili

    Mamboz . Natarajia mko poa wadau.. Nahitaji msaada wapi naweza pata huduma ya kuenda kupima ukimwi kesho jpili?
Back
Top Bottom