Hivi magari ya JWTZ kwanini hayakusaidia katika janga hili? Kwa nchi za wenzetu askari ndo wangeonekana mstari wa mbele kusaidia wahanga - hii ni pamoja na kuwabeba walemavu, wagonjwa na vikongwe migongoni (hii nachukulia mfano wa China ...) nashindwa kuelewa kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.