Recent content by Chuck Taylor

  1. C

    JamiiForums Tanzania Nauza Laptop

    Ni HP RAM ni 2GB, processor ni Intel (R) Core (TM) 2 Duo CPU, P8600@2.40 GHz. System type ni 32 bit operating system. Bei ni 270000. Napatkana dar namba 0767282701
  2. C

    JamiiForums Tanzania Dongobesh..!

    Yap kaka ni masquaroda. Nimeish dongobesh sana pale uwanja wa mpira jran na ktuo cha polisi..nimewafaid sana kwa macho mabinti wa pale dongobesh na vijiji vya jran kama gidim, tumati na endoji. Nakumbuka pia mabasi maarufu ya pale kama gari za Bayo, Mjomba na Bashnet coach.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Dongobesh..!

    Mshana..huko dongobesh nmekaa sana. Kuanzia bashnet, bashay mpaka maskaroda
Back
Top Bottom