Nakusalimu kwa lugha ya Kiswahili na vyovyote utakavyonijibu ni sawa tuu. Hahaha! Hebu kumbuka ulivyokua mtoto zile ‘kamba’ wazee wako walikua wanakupiga? Sasa kuna hii moja ambayo nadhani kila mzazi amewahi kuitumia kwa mtoto/watoto wake na hao watoto pia wanaendelea kuitumia kwa watoto wao...
“Saa saba juu ya alama saa nikiitazama, nimeshaachana na Jackie sasa namfata salama, saa kumi na mbili nina appointment na mademu Wawili, achana na lily ambae tutakutana saa mbili.”
Hapo sasa Ferooz alikua anatusimulia namna ambavyo alikua anakula bata tena lile la kipindi cha miaka ya elfu...
Mambo vipi mwanajukwaa? Hivi una mdogo au mtoto wa kike? Sasa huu ndio wakati wa kumuwaza huyo binti yako aisee, wamombo wanasema ‘Imagine’ yani unaweza hata kufumba macho na kumvutia picha binti yako mwenye umri chini ya miaka kumi na tano (15) anatembea tembea hapo sebuleni kwako na kitumbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.