Faida kuoa
1.kupata mahaba bila ya kuyatafuta mtaani
2.kupata watoto halali /familia ndani ya ndoa
3.kidhihirisha uwezo wako wa kumvumilia unayeishi naye
4. Kudhihirisha uwezo wa kutunza watoto na mama yao n.k
Unajidanhanya Sana Kila nyama utamu wake Kuna stake, mifupa, mchanganyiko, utumbo, maoni na kongolo Kila nyama Ina utamu wake hakuna kufanana apo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.