JE, MAJI WANAYO TUMIA KUMWANGILIZIA NA KUOSHEA MCHICHA UNAOKULA UNAYAJUA?
Siku moja nilipata wasaa wa kutembelea maeneo ya Buguruni-marapa,Dar es salaam katika bonde kubwa ambalo watu wa maeneo ya pale utumia kulima mbogamboga.
Furaha yangu ilifika kiwango cha juu sana baada ya kukutana na...
NI VITU GANI UTUMIKA KU-CREATE AFYA BORA KWA BINADAMU?
Ukitaka kupika maandazi basi utahitajika uwe na mahitaji(ingredients) kama unga,chumvi,sukari,baking powder,iriki,maji n.k
Sasa turudi kwenye afya, ukitaka kuwa na afya bora,Je unatakiwa uwe na mahitaji gani?
(What are those ingredients for...
"Ili mtu uweze kupata faida(virutubisho) kutoka kwenye chakula ni lazima chakula iko kipite katika mfumo wa umeng'enywaji chakula(digestive system) ambao unatumia organ zake mbalimbali ili kumeng'enya chakula na kufyonza virutubisho katika chakula.
Mdomo(mouth) ndio organ ya kwanza inayotumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.