Saluti kwa haya majeshi ni changamoto sana, PGO inaagiza kuwa "askari wa Rank and File watawapigia maofisa wa majeshi mengine wakiwa in-uniform". Hivyo hutaona ulazima wa kisheria wa kupiga saluti hizo bali hekima na busara inabidi ziwaongoze katika kuheshimiana.
Ni kosa la jinai kuzuia utendaji wa maofisa wa Polisi, na pia ni kosa la jinai kuficha au kuharibu kielelezo cha kesi iliyopo mikononi mwa Polisi. Labda kuna jambo watu hawalioni hapo linaitwa contamination of evidence.
Inapotokea Polisi anapokea mtu ambae kaamuriwa kumweka ndani na watoa maelekezo, yule mtu akafia ndani ya selo za Polisi bila kuwa na sound accusation atakayechukuliwa hatua sio mtoa maelekezo bali mkamataji, ndio maana Polisi wanapoomba muda wa kutafakari ukamataji wana maana nzuri tu kuwa...
Amri za Polisi zipo kama ifuatavyo;-
1. Amiri Jeshi Mkuu
2. IGP
3. Commisioner of Police
4. Deputy Commisioner of Police
5. Senior Assistant Commisioner of Police
6. Assistant Commisioner of Police
7. Senior Superitendent of Police
8. Superitendent of Police
9. Assistant Superitendent of Police...
Saluti inapopigwa ina sababu, ni salamu kwa askari aliyevaa uniform kamili na kofia. Sio ishara ya kuonyesha kila anayepigpiwa ni bosi. Inspekta wa Polisi kwenda juu anapigiwa saluti bila mipaka nchi nzima, lakini DC atapigiwa na rank nilizozitaja hapo juu kwa lazima akiwa kwenye eneo lake la...
Polisi wanaitwaje? Wanaitwa bwana na bibi? Mfumo wa Rank na majina ya Rank yanatokana na mfumo mnaotumia. Wengi wanaotumia mfumo wa Uingereza majina ya vyeo vya polisi yatakuwa Constable, cpl, sgt.... Inspectors, superitendents au Commisioners mpaka Inspector General. Hakuna Polisi anayetajwa...
Amemtaadharisha mara nyingi kuwa hiyo mbolea ni vielelezo. Hata Kaimu Kamanda wa Mkoa wa Songwe amefafanua kuwa haiwezekani mbolea kugawanywa bila kibali cha mahakama. DC hahusiki na maamuzi hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.