Andiko zuri sana, zaidi linalenga jamii na hasa kundi la watu waliosahaulika sana katika jamii nyingi za kitanzania. Naamini kupitia hili jitahada mahususi zikichukuliwa kulenga kundi hili tunaweza kutatua shida iliyopo na kuleta uwazi, usawa na uwazi katika jamii zetu kupitia kundi hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.