Barabara kuu as I said iko mbele kidogo, sikumaanisha hako ka njia kanakoonekana kupita hapo mbele mkuu! Ni nyingi kweli ndio maana nikatoa option ya kulipa kwa awamu 3!
Tunatoa huduma za garden designing/landscaping na uuzaji wa miche ya miti. Ukihitaji miche ya miti,matunda na maua weka order yako sasa tukuandalie na/au kukuletea. Huduma hii (yaani pamoja na delivery mpaka eneo lako) kwa sasa inapatikana Dsm kwa Kigamboni yote, Toangoma, Mbagala na Mwandege...
Semi finished iko muembe mdogo, Kigamboni Dsm....in vyumba 3 kati ya hivyo 2 ni self contained, jiko na stoo yake,sebule na dinning room pamoja na public toilet. Imeshawekwa grills madirisha yote na milango ya chuma kwa mbele na nyuma. Rough floor chini tayari kasoro nusu ya sebule na chumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.