Nipe link hiyo aliyosema plz.. plus you have to know there has been a lot of knowledge on virusi ambayo zamani hatukuwa nayo.
With new light as long as you can show me the proof from different trusted sources nitasoma pia.
Please show me that proof you say unayo.
Nitafika huko baadae nikianza kuongelea. Miaka ya 80 UKIMWI ndiyo ilianza kusambaa Nchini kwetu. Lakini hili swali litajibiwa sana nitakapoongelea uhusiano kati ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI.
Tafadhali fuatilia.
Kama nilivyosema, lazima kuwepo na mgusano kati ya majimaji ya mwenye virusi na damu ya asiye na virusi. Miirija hiyo ina layer inayouitwa epithelium. Hii layer in seli maalum ambazo hazina kipokezi(receiptor) inayoweza kupokea virusi. Hivyo ni lazima iwepo mgusano na seli zenye uwezo huo. Seli...
Tarehe 30 mwezi wa nne dunia inahitimisha wiki ya chanjo duniani.
Hebu uliza wataalamu waKupe majibu kuhusu swali lolote kuhusu chanjo..
Wataalamu toeni maelezo kwa kila swali.
NB: kama kuna kitu umesikia, iweke kama swali upate jibu. Ili kila jibu liwe jibu sahihi.
Ni kweli maandalizi mazuri hupunguza chance ya maambukizi. But haiondoi kabisa uwezekano. Ndio maana tunashauriwa kuendelea kutumia condoms kwa usahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.