Waongo wale . Waliomba kibali cha mabadiliko saa 3 ili wapae saa nne.
Ile chopa ilikua na kibali cha kurudi kwao Nairobi.
Pamoja na hayo ruhusa ilitolewa ila waliamua kudanganya umma kwa maslahi yao tu.
Mitandao mnaitumiaga vibaya kuhamasisha uvunjifu wa amani. Angalia tunavyopiga kura kwa amani na utulivu.
Kimya kimya tunampaisha JPM .
Hii ndio Tanzania bwana.
Amani na utulivu , JPM kweli yupo vizuri.
Asante Sana Pascal kwa andiko lako lenye ujumbe mzito.
Mimi nimekuelewa na ninaunga mkono kuwa safari hii CCM inashinda viti vyote pia kwa umakini wake ulioanzia wakati wa kujiandikisha kupiga kura nabkurekebisha taarifa zao kitu ambacho chadema walidharau zoezi hilo hivyo wamebaki kwenye...
Wewe ndio mjinga hiyo jana Umeme ulikuwepo. Labda baadhi ya maeneo na ni muda wa mchana, na uchaguzi ni leo sasa jana mchana na kwa muda mfupi sijui inahusuje kwenye uchaguzi wa Leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.