Recent content by Ayurveda-Tanzania

  1. A

    Hii ndio Tiba ya Ngiri/Hernia kupitia Dawa za kihindi

    Aina nyingi za ngiri ama hernia zinatokea eneo la tumbo kati ya kifua na nyonga. Kwa watu wengi ngiri siyo tatizo linalohatarisha maisha japo ni tatizo lisiloisha lenyewe bila upasuaji ama dawa. Ngiri inasababishwa na kulegea kwa misuli na kupelekea nyama za kiungo kimoja kuota na kusukuma...
  2. A

    Tumia Shilajit kuimarisha stamina, kinga na afya ya kiume

    Shilajit ni lishe iliyo kama gundi nyeusi ambayo inavunwa kwenye milima ya Himalaya. Ladha yake ni uchungu na utam kwa mbali, inayovutika ukichota kwa kijiko. Faida za shilajit 1. Kuimarisha misuli na nguvu za mwili kiujumla 2. Kuboost hormone ya kiume yani testosterone na hivo utakiwa imara...
  3. A

    Ashwagandha by Himalaya inapatikana hapa kwa bei nzuri

    Ashwagandha ni tiba asili ya kihindi iliyojizolea umaarufu mkubwa kutibu changamoto nyingi za kiafya. Mmea huu unazalishwa zaidi Mashariki ya kati, Asia na hata Africa ya magharibi. Faida za Ashwagandha ni pamoja na 1. Kuboost memory na uwezo wa kufikiri 2. Kuboost hormone ya kiume 3...
  4. A

    Zandu kanchnar Guggul inatibu uvimbe kwenye kizazi na tumboni

    Dawa ni ya asili imezalisha india kwa ajili ya kutibu uvimbe kenye kizazi na kenye mfuko wa mayai. Pia dawa inasaidia kurekebisha homoni na hedhi. Dozi moja ya Zandu kanchnar guggul ina vidonge 80, unameza 2x2 asbhi na jioni kwa siku 40. Tunashauri utumie dozi mbili kupata matokeo ya uhakika...
Back
Top Bottom