Recent content by Auson frank

  1. A

    JamiiForums Tanzania Nauza vanila

    Sawa tuchek kwa namba 0788988210 tuweze kuwasiliana kwa karibu zaidi
  2. A

    JamiiForums Tanzania Nauza vanila

    Kama kiasi gani? Kama kidogo tunakupa lakini kama kuanzia kilo moja utachangia kidogo
  3. A

    JamiiForums Tanzania Nauza vanila

    Sawa ! Vanilla inatumika hasahasa kwenye kuongeza radhha katika vitu mbali mbali kama vile cake , ice cream inaongeza radha hayo ni matumizi ambayo ni yakawaida kwenye coffee sehem tofauti tofauti
  4. A

    JamiiForums Tanzania Nauza vanila

    Naitwa Auson frank ni mkulima wa zao la vanilla ambalo tunafanyia kilimo mkoa wa Bukoba-Kagera ambapo tunazalisha zaidi ya tani 5 ya vanilla. Kwa Dar es salaam tunapatikana magomeni kagera kwa atakae hitaji kuona sample ya mzigo maana mzigo upo godown bukoba atafika Magomeni Kagera na...
Back
Top Bottom