Recent content by atrickmagesa1

  1. atrickmagesa1

    House4Sale Nyumba Mpya inauzwa, Mwanza

    Nyumba ni kubwa sema picha nimepiga ili kuchukua sura ya nyumba yote ndo maana inaonekana ni ndogo Sent using Jamii Forums mobile app
  2. atrickmagesa1

    House4Sale Nyumba Mpya inauzwa, Mwanza

    Ipo Ndofe, Igoma.. - Ina vyumba vitatu kimoja ni master - Sebule& dinning room - Jiko - Public toilet ya ndani Nyumba ni mpya. Kiwanja kimeshipimwa ambapo ukubwa wa eneo ni 25*35 mita. Maji yapo na umeme ushalipiwa na unawekwa siku si nyingi. Bei 28.5 million. Mazungumzo yapo Kwa maelezo...
  3. atrickmagesa1

    Nyumba inauzwa, Mwanza

    Ipo Buhongwa mita 150 kutoka barabara kuu ya lami. Ina Nyumba 3(master brdroom mmoja) Sebule & siiting room Jiko & store Store ya nje Maji & umeme vyote vipo Nyumba tiyari ina hati na ukubwa wa eneo ni 25*40 mita Bei ni million 65 mazungumzo yapo Kwa taarifa zaidi call/text/whatsap...
  4. atrickmagesa1

    Plot4Sale Jipatie viwanja vilivyopimwa kwa bei rahisi ndani ya Jiji la Mwanza

    Kuna viwanja vyenye ukubwa 17*30m ila kuna vya 3.5 pamoja na 3 million. Mmiliki ndo kahawa bei hiyo yaani ukiangalia vizur kuanzia kiwanja namba 36 vina kijdistance kutoka main road na yy kasema atavipunguza bei na kuwa 3 million ila vinalingana na vya chini yake Sent using Jamii Forums mobile app
  5. atrickmagesa1

    Plot4Sale Jipatie viwanja vilivyopimwa kwa bei rahisi ndani ya Jiji la Mwanza

    Viwanja viko Nyashishi, kilomita mmoja kutoka stendi ya daladala nyashishi zinazofanya route ndani ya Jiji la Mwanza. Viwanja viko zaidi ya 50 na bei zinatofautiana kulingana na ukubwa pamoja na mwelekeo wa barabara kubwa. 18*30mita, bei yake ni 4 million. 17*30mita bei yake 3.5 17*30mita bei...
  6. atrickmagesa1

    Viwanja vinauzwa, KISESA Mwanza

    Kisesa mtaa wa mwanduru kama unaufaham Sent using Jamii Forums mobile app
  7. atrickmagesa1

    Viwanja vinauzwa, KISESA Mwanza

    Viwanja vipo Kisesa Mwanza, Vimeshapimwa na vina subiri utengenezaji wa hatimiliki ambapo mnunuzi ndo atakuwa wa kwanza kutengeneza katika kiwanja husika Bei ni million 2.7 kwa kila kimmoja Eneo ni tambarare na pembezoni pameshajengeka. Huduma za kijamii zipo karibu Viwanja vinafikika kwa...
  8. atrickmagesa1

    Frames za kupangisha Mwanza

    KWA MAHITAJI YA Vyumba vya ofisi (ndogo na kubwa), frame za maduka, store, kumbi na sehem za migahawa katikati ya jiji la MWANZA 1. 𝑷𝒂𝒎𝒃𝒂 𝒔𝒕𝒓𝒆𝒆𝒕 2. 𝑲𝒆𝒏𝒚𝒂𝒕𝒂 𝒓𝒐𝒂𝒅 3. 𝑳𝒖𝒎𝒖𝒎𝒃𝒂 𝒔𝒕𝒓𝒆𝒆𝒕 4. 𝑺𝒂𝒉𝒂𝒓𝒂 𝒔𝒕𝒓𝒆𝒆𝒕 5. 𝑵𝒚𝒆𝒓𝒆𝒓𝒆 𝒓𝒐𝒂𝒅 6. 𝑳𝒊𝒃𝒆𝒓𝒕𝒚 𝒔𝒕𝒓𝒆𝒆𝒕 7. 𝑼𝒉𝒖𝒓𝒖 𝒔𝒕𝒓𝒆𝒆𝒕 (𝒎𝒂𝒂𝒓𝒖𝒇𝒖 𝒌𝒂𝒎𝒂 𝑫𝒂𝒎𝒑𝒐) 8. 𝑴𝒍𝒂𝒏𝒈𝒐 𝒎𝒎𝒐𝒋𝒂 𝒏𝒂 𝒎𝒂𝒆𝒏𝒆𝒐...
  9. atrickmagesa1

    Mydalali lake zone

    Shukran ndugu
  10. atrickmagesa1

    Mydalali lake zone

    MWANZA...MWANZA....MWANZA Kwa mahitaji ya kuuza au kununua nyumba, viwanja, mashamba na mali zingine zisizo hamishika..... Kupangisha au kupanga nyumba, vyumba, appartment pamoja na mashamba Kwa ushauri juu ya masuala yahusuyo elimu ardhi kama vile 1. Mambo usiyoyaelewa juu ya umiliki wa ardhi...
  11. atrickmagesa1

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Nyanshishi Mwanza

    Kiwanja kipo Nyanshishi Mwanza, mita 500 kutoka kituo cha daladala Nyanshishi zinazofanya safar ya kwenda maeneo mbalimbali ya kona ya jiji la Mwanza. Kimeshapimwa na kinasubiri kutengenezewa hati. Kina ukubwa wa mita za mraba 823 yani 40*20.6 mita Bei yake ni 5.3 million Maongezi...
  12. atrickmagesa1

    Kiwanja kinauzwa Mwanza

    Kiwanja kinauzwa MWANZA nyegezi majengo mapya Kimeshapimwa kinasubiri kutengenezewa hati. Ukubwa wa eneo ni mita za mraba 555. Bei million 2.6 karibu kwa mazungumz Tel; 0762211774/ 0654589824
  13. atrickmagesa1

    Laptop acer aspire one inauzwa

    RAM 2GB Inch 13 Inakaa na chaji zaidi ya masaa matatu Portable Location; MWANZA Price; Fixed 250k
  14. atrickmagesa1

    Computer4Sale Laptop acer aspire one inauzwa

    acer ASPRIRE one used lakini haina tatizo lolote na haijawahi mwona fundi na ipo kwenye good condition RAM 2GB Processor AMD C- 50 Battery 3hrs - 5hrs Portable Bei ni 300k fixed Location; MWANZA Tel; 0762211774
  15. atrickmagesa1

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa nyegezi Mwanza

    Kwa mawasiliano zaidi waweza nipata kwa namba 0762211774 au 0654589824
Back
Top Bottom