Recent content by assumani

  1. A

    Wanaotaka kupata bidhaa kutoka Dubai

    naam kuhusu buibui zipo na bei zake zinaanza dola 15 kupanda mpaka dola 300 huko ina tegemea wewe na wateja wako ni wa aina gani
  2. A

    Wanaotaka kupata bidhaa kutoka Dubai

    habari zenu wakuu Mimi naitwa Assumani ni mgeni katika JamiiForums kwa yoyote anaye taka kitu dubai yaani biashara kutaka kujuwa habari za kibiashara hapa dubai aweza kuniuliza ao twaweza kuagiza mzigo wako popote africa ya mashariki na kusini
Back
Top Bottom