Habari wakuu
Leo ni alhamisi na kwa watu wapenda viti virefu na kamnyweso wao wameshaanza wikiendi tayari, lakini tunapoelekea kwenye wikiendi hebu tujikumbushe jambo moja la muhimu hususani afya zetu.
Je, umeshawahi kusikia mtu amefariki ghafla na rafiki zake wakasema ni jana tu tulikua nae...
Mojawapo ya dalili ya Kifua Kikuu ni Pamoja na zifuatazo
-Kikohozi cha muda mrefu kisichopona hata baada ya kutumia dawa
-Mwili kuishiwa nguvu
- Kuhisi kichefuchefu na kutapika ,Kizunguzungu
-"Homa za mara kwa mara hasa nyakati za usiku "
Mkuu fika mapema kituo cha Afya kilicho karibu nawe...
Kumekua na Changamoto mbalimbali zitokanazo na matumizi ya dawa kwa watu mbalimbali,wengine hujihisi kuwashwa mara baada ya kutumia dawa fulani ,wengine hujihisi kuchoka mara baada ya kutumia dawa fulani na wengine hali zao kubadilika kabisa na kuzidi hali walizokua nazo kabla ya kutumia dawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.