Jina la Shairi: Mwanafamilia Mpya
Jina la Mwandishi: Anna Meleiya Mbise
1.Wanaita digitali, zama zimebadilika,
Na wala si ajali, ndio pilikapilika,
Twazipata kihalali, kutunza tunachemka,
Simu wewe ndio nani, mbona unatunyoosha?
2.Mimi niliponunua, kwanza nilijiuliza,
Hii simu yala mua, au...