Recent content by Angy Roby

  1. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na kuumwa miguu

    Wapendwa nina kilo 69, na miguu inauma tu haijai wala kuwaka moto na hali hii hapo nyuma ilikuwa inanitokea mara chache labda wiki 2 halafu inapoa yenyewe, kwa sasa huu ni mwezi wa 3 ndani ya miezi hiyo mitatu ilipoa wiki moja tu na ikendelea, nikiamka mara nyingi asubuhi najikuta haiumi ila...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na kuumwa miguu

    Wapendwa nina kilo 69, na miguu inauma tu haijai wala kuwaka moto na hali hii hapo nyuma ilikuwa inanitokea mara chache labda wiki 2 halafu inapoa yenyewe, kwa sasa huu ni mwezi wa 3 ndani ya miezi hiyo mitatu ilipoa wiki moja tu na ikendelea, nikiamka mara nyingi asubuhi najikuta haiumi ila...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na kuumwa miguu

    Asante, sio muda wote kuna muda huwa inapoa nakuwa sawa hata kwa siku chache, baada ya hapo inaendelea na ni muda wowote.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na kuumwa miguu

    Asante ntajitahidi kipenzi, ila sababu pia inaweza kuwa nini.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na kuumwa miguu

  6. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na kuumwa miguu

    Uzito wangu ni kilo 69kg
  7. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na kuumwa miguu

    Asante kipenzi. Amin Uzo
  8. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na kuumwa miguu

    Asante kipenzi. Amina
  9. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na kuumwa miguu

    Haiwaki moto, wala kuchoma wala kujaa maji, na kuna muda nikisimama muda mrefu bila kutembea tembea nachoka. Ingawa pia nina historia ya kufanya kazi ya kukaa kwa muda mrefu hapo nyuma, nilifanya kwa miaka 2.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na kuumwa miguu

    Sawa ntaenda asante
  11. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na kuumwa miguu

    Yani ni kama ina uchovu flani, na mara nyingi nikiamka asubuhi inakuwa sawa, ila nikishuka nikakanyaga chini tu inakuwa mizito na kadiri ninavyotembea uzito unapungua kwa kiasi flani.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninasumbuliwa na kuumwa miguu

    Mimi ni mwanamke nina miaka 28, nasumbuliwa na miguu kuuma hasa nikiwa nimelala au kukaa, nimepima hiv,uti,typhod na malaria sina chochote, naomba mnisaidie ushauri tafadhali.
Back
Top Bottom