Amos Muhagachi

Nafikiria sana juu ya mabadiliko ya kisiasa nchini Tanzania na hasa wanasiasa kuhama vyama toka chama A kwenda chama C hii ni haki ya kikatiba na inapaswa kuheshimiwa kwa mjibu wa Katiba ya Tanzania.
Maswali wamenunuliwa yanaleta ukakasi wa kisiasa katika mstakabili wa kisiasa hapa nchini mwetu.

Tangu enzi za Mh.Mrema kuihama CCM na baadaye wakafuata mawaziri wakuu wastaafu Mh.Lowasa, Mh.Sumaye na hivi karibu Mh.Nyalandu sijui hawa nao walinunuliwa kiasi gani cha fedha maana hoja nazozisikia kutoka upande wa Chadema ni kuwa wabunge na madiwani wanao hama kutoka chadema kujiunga na CCM wamenunuliwa hii inaanza kutujengea imani kuwa kweli huenda hawa wenzetu wanaijua biashara hii ya kukunua wanasiasa au hata kukunua chama.

Mfano Mh.Lema aliisha kuwa katika chama cha TLP, NCCR-MAGEUZI na hatimaye sasa yupo Chadema alikuwa akinunuliwa kwa bei gani ya kiasi gani?

Mimi nadhani watu wapewe uhuru wa kuamua chama gani aende au chama kipi atoke ili mradi tu asitumie kauli za uongo na kashfa ya kule alikotoka.

Naliombea Taifa.
Website
https://www.jamiiforums.com/account/
Location
Jamii forum
Gender
Male
Occupation
PRO

Trophies

  1. 25

    Somebody Likes You

    Somebody out there liked one of your messages. Keep posting like that for more!
  2. 20

    First Message

    Post a message somewhere on the site to receive this.
Back
Top Bottom