Shukran sana kwa kutanguliza busara juu ya hili jambo...tupo pamoja sana,nafkiri unafahamu hali ni tete na majukumu yamekua ya kila mmoja kuhakikisha tunapata mkate wa kila siku.Nami pia nimekubali hizi ni changamoto tu japo ni vizuri pia nikakukaribisha hata nawewe ukipata nafasi uje uione.
Daaah!!! ndugu umejitahidi sana kutoa kasoro na kukosoa ilhali ni biashara na haujahakiki hayo yote unayoyasema.Nyumba umeiona kwa picha hujaiona live, its not fair ni kuharibiana biashara.
Si kweli na siyo wote wanaofanya hivyo na ndiomana kabla ya kununua unatakiwa kufanya research...Hii ni biashara kama biashara zengine na hii inamaana mtu atayekua intersted atanunua na asiyetaka anaacha si basi!!!
Nyumba ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu ipo Mbagala Chamazi kituo cha Magengeni.
Nyumba ni mpya ipo karibu na barabara na huduma zote za jamii.
Nyumba ina documents zote.
Inauzwa Tsh.60 milion
kwa mawasiliano zaidi nitafute kwa number
[emoji390] 0714281410...
Nyumba ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu ipo Mbagala Chamazi kituo cha Magengeni.
Nyumba ni mpya ipo karibu na barabara na huduma zote za jamii. Bei yake ni 65 milion.
Nyumba ina documents zote... kwa mawasiliano zaidi nitafute kwa number
[emoji390] 0714281410...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.