....Nauza viti na meza yake vinafaa sana kwa ajili ya kuweka sehemu ya dinning au Officene au kuweka kwa nje kwa ajili ya kupumzikia... Ni vizuri sana.. Ni product kutoka South Africa... Bei ni laki nne (400,000) kwa vyote... Kwa mawasiliano zaidi unaweza kunicheck kwa number 0713 590607...
....Millango iliyotengenezwa na Mbao aina ya Mininga ambayo haina kovu wala doa inauzwa... Bei yake ni 350,000 Ipo hamsini(50).. Urefu ni Cm 220 na Upana ni Cm 90. Ni mizuri sana kutokana na finishing yake ni ya machine Kwa mawasiliano zaidi unaweza kupiga number 0713 590607. Ipo Dar es...
...Kuna Milango ya iliyotengenezwa na mbao za mininga inauzwa ni pure mninga haina kovu wala doa ipo 50 (Hamsini) Bei yake ni 350,000 ipo Dar es salaam.. Urefu ni Cm 220 na upana ni Cm 90 Kwa mawasiliano zaidi piga 0713 590607...Ni mizuri sana kutokana na finishing yake ni ya Machine
Naomba niunganishe na mimi kabiashara hapa kwenye uzi wako..... Nauza kioo cha Sony Bravia inches 32 Bei ni laki tatu tu... Kwa mawasiliano unaweza kunicheck kwenye number 0713 590607
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.