try me... alaf unajua watanzania ukijua kitu kidg tu unataka ufanye very special fivver logo ni kwanzia dola 5 hadi 10... nmefanya kwa 2y sasa leo kufanya nusu bei ndo tatizo... au ulisha tengenezewa logo 150000 ndo maana?
Habari wanajamiiforum... mimi naitwa Alpha ninapenda kuwasogezea baadhi ya huduma zangu kwenu leo. ni matumaini yangu wengi watakao soma post hii ni aidha wafanya biashara au wafanya biashara watarajiwa au vyovyote vile.
Ningependa kuwashirikisha baadhi ya huduma zangu ambazo ni pamoja na
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.