Uongozi ni uhusiano uliopo baina ya pande mbili; upande unaoongoza na upande unaoongozwa (Prof. Rev. Fr. Magesa, 2003). Uhusiano huo unajengwa na imani ya wanaoongozwa kwa kiongozi wao. Wanaoongozwa huwa na imani kwa kiongozi wao kwa sababu ya kutaka kufikia lengo fulani. Hivyo, Uongozi ni...
Kwa mujibu wa Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto, Mkataba wa Afrika kuhusu Haki na Ustawi wa Mtoto, Sera ya Maendeleo ya Mtoto na Sheria ya Mtoto Na. 21 ya 2009; inaeleza kuwa, Mtoto ni mtu yeyote mwenye umri ya miaka kumi na nane (18). Watoto wote wanazo haki zao za msingi bila kujali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.