Recent content by Alan Madiga

  1. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Hapo nimekupata vyema Gemmy. Wacha nianzie hapo. Nashukuru kwa kuustua moyo wangu kwa mbaaali.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Kila unayemueleza anasepa au anaamini namake up a story na mazingira ya kumkimbia. So mtu asipo nielewa inaniuzi sana
  3. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Nashukuru ndugu yangu
  4. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Asante sana ndugu
  5. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Sijasema kwamba siwezi, naweza na ndio maana nikaamua kuusemea moyo baada ya kujitathimini kwa kina na kutambua tatizo so nataka pa kuendelea kuivua hali hii.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Nataka lakini hakuna anayenielewa licha ya kuwa wazi.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Niko tayari ndugu maana umri unakua na nataka kuanza maisha mapya kabisa.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Sitaki umaarufu hapa ninachotaka ni msaada na uchambuzi wa hali yangu ili wasioweza kupaza sauti zao hadharani wajue nini cha kufanya ili kujikomboa kutoka ktk hali km yangu.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    xfactor nadhani unaelekea kuwa na familia au tayari unayo. Natumaini wanao utawatunza vyema na kwa Usalama lakini jaribu kumtafuta mtaalamu wa saikolojia akuelimishe hali ninayo pitia mimi sasa. Sihitaji kutimikia hali ya. kikatili na naamini kuna mengi sana yamejificha kwenye jamii zetu licha...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Natamani sana kuwa na mahusiano lakini hakuna anayeweza kunielewa.
  11. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Mi nimechoka hali hii lakini hisia mbaya zinanikaba sana.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Hapo ndio pagumu kuanza kuwatazama kwa mtazamo chanya coz hali mbaya inanishinda na siwezi kuicontrol kabisa na nakuwa mkatili kiliko ninavyoonekana kwa watu.
  13. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Hiyo nilijaribu na ilisaidia kidogo lakini siyo kuondoa hasira zote. Nitafanya tena mpaka nikae sawa.
  14. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    Nashukuru sana kaka. Yule wa kwanza sijui yuko wapi lakini najua ameshaolewa na anaishi raha mustarehe. Mama mdogo yupo na ameshaolewa na ana watoto wanne japo hawezi kunitazama usoni kabisa.
  15. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisaikolojia

    WanaJF, nimeishi kwa miaka ishirini na sita (26) sasa nikiwa nimepoa moyo kabisa. Sina hisia za upendo na sijawahi kuhisi hivyo toka mwaka 1996 nilipokuwa darasa la pili. Nakumbuka mwaka huo nilikuwa darasa la pili na tulikuwa tunaishi kota, enzi zile shule tulikuwa tunatoka saa nne asubuhi...
Back
Top Bottom