STUDIO IPO DAR ES SALAAM, POSTA MPYA MTAA WA JAMHURI, LAKINI SIFA KUU NI KWAMBA STUDIO YETU INATEMBEA KUKUFUATA MAHARI ULIPO. TAFADHARI TUTEMBELEE, AU TUPIGIE 0624 136 775 AU 0785 029 655.
KARIBUNI.
Pagare lipo eneo la Kinondo B , wilaya ya kinondoni.
lipo kwenye kiwanja che ukubwa wa miguu 70 x 30.
pagare lina vyumba 3 vya kulala , sebule , jiko na choo.
lipo upande wa kushoto kama unaenda bagamoyo.
ni umbali wa 4.5km kutoka pale bunju Shule ya msingi
bei ni 22m.
mawasiliano 0657145555
Kiwanja kipo mapinga bagamoyo mkono wa kulia kama unaenda bagamoyo kina ukubwa wa heka 4 kipo umbali wa 1 km toka barabara ya rami bei ni 25m kwa heka.
Tuwasiliane 0657145555.
Kipo Bunju A katika eneo linaloitwa Kinondo B.
ukubwa ni miguu 70 x 35
kina karatasi zinazotambuliwa na serikali ya kijiji
ubali toka barabara kuu ya Bagamoyo ni 3km.
umeme na maji vimefika.
pia ndani ya kiwanja kuna jengo ambalo bado halijakamilika lipo katika hatua ya mwisho.
hivyo kiwanja...
Nyumba ya vyumba 3, eneo la mikutano inapangishwa, inafaa kwa matumizi ya ofisi
ipo Kinondoni morocco, pembeni ya kituo cha mabasi ya mwendo kasi na daladala, bei ni 1,500,000 kwa mwezi. tuwasiliane 0657145555.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.