Via kwanzaafya.blogspot, pole sana utakuwa unasumbuliwa na vidonda vya koo au ugonjwa wa GERD ambavyo ni matokeo ya vidonda au fangasi mdomoni kwa muda mrefu hivyo wahi hospitali mapema kwani maambukizi yanaweza kusambaa kwa kasi asa kuelekea kwenye ubongo na uti wa mgongo.
Via Kwanzaafya.blogspot.com. pole sana mwanao anasumbuliwa na hernia aendelee kutumia dawa alizopewa na kufuata ushauri aliopewa mpaka akifikisha miaka 2 ndo ataweza kufanyiwa upasuaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.