More proof ; AdPower-Global wanauza kwa other Businesses.
Zenplus Japan
- https://zenplus.jp/adpower-diesel-for-diesel-vehicles-patented-just-stick-it-on-the-engine-air-c/p/mmstore%3A16e81664-4f9b-425f-9a80-b6ad6c418afd
Shopee Singapore
-...
Kama kweli unataka ku-prove kwa watu kwamba ni waste of money, then prove it kwa kutumia wewe mwenyewe ... Tumeshakuelezea kuwa adpower-global wameacha kuuza online wanafanya b2b kwa sasa, still unashindwa kuelewa.
Naomba ulete proof hapa kwa kujaribu wewe mwenyewe na sio maneno tu.
Labda upate uelewa kwanza,used cars is for export. Huweki Adpower kwa gari mpya bali gari ambazo tayari mfumo wake umeanza kuchakaa(chakavu). Huwezi kuona AdPower kwa sasa ila nadhani utaziona very soon kwasababu hawa wana awards japan. Na japan wana reviews nyingi na za kutosha. Its a new...
Yes ni product mpya hii na ambayo ipo sokoni mwaka wa tatu by now.
Actually fahamu tu jambo moja kuhusu Japan.Product zao nyingi hawaleti huku,kwasababu nyingi kama Product immitations,Kaizen strategy of not producing for mass(chinese way) ,kuzalisha kwa nchi yao pekee kwasababu ya bei na ubora...
Usisumbuke bidhaa zipo Tanzania,zipo Kenya na kwingineko. AdPower wameamua kuondoa biashara mitandaoni na kufanya B2B kwa sasa. mojawapo ni kupunguza product immitations . Ni vyema ukajaribu product then ukaja kuhadithia hapa product efficacy yake.
1.Angalia bei vizuri stika sio 750,000 ila idadi ya stika zinazohitajika ndio unazidisha na Tsh 75,000. Kwa gari ndogo ni Tsh 75,000
2. Hii teknolojia sio ya Tanzania na imekuwa imported from Japan ,na ipo pia amazon na Uk.
-
-...
Yani ukishajua cc ya gari yako, unaangalia bei yake kule mwisho, kwahiyo bei unapewa package nzima, kama ni pieces 3 unapewa zote kwa bei hiyo. Sio kwamba kila piece inauzwa kwa bei hiyo, hapana ... Hiyo bei ni package nzima unapewa.
Ofisi zetu zipo Arusha, lakini tunaweza kukutumia mahali ulipo. Kwa msaada wa haraka kuipata, tutafute whatsapp
Whatsapp(bofya link): Share on WhatsApp (namba 0747 786 304) au piga 0747 786 304.
Karibu sana Mkuu.
UTANGULIZI
Masaaki Imai Mkufunzi wa kijapan wa mifumo ya ubora maarufu kama “kaizen” aliwahi kusema “siku moja isipite bila kuhakikisha kuna mahali umeboresha katika kazi/ chombo chako na maisha yako.Hata kama ni padogo kiasi gani.
⛽ Kwa miaka mingi vyombo vya moto vinavyoingia nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.