Habari za harakati wadau wa jamii forum. Naomba kufahamu biashara ya mchele kutoka mikoani hasa shinyanga na mbeya kwenda jiji la dar es salaam, Masoko ya biashara yapo vipi na trick zote za uendeshaji wa biashara hii ziko vipi Natanguliza shukrani zangu kwenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.