Recent content by ADAM SADAM

  1. A

    SoC01 Umoja ni maendeleo tujifunze kupitia hapa

    Habari ndugu msomaji wa andiko langu la leo ijumaa 17 september 2021 litaangazia maendeleo yetu katika jamii na taifa kwa ujumla naomba ungana na Mimi tushere wote hizi pointi MAENDELEO NI NINI maendeleo ni hali ya mabadiliko chanya kutoka sehemu moja kwenda sehemu bora zaidi mwalimu Nyerere...
  2. A

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    DALILI ZA BAWASIRI NA TIBA YAKE 🔴Bawasiri hutokea pale mishipa ya damu inapovimba au kuathiriwa kutokana na mgandamizo unaotokea katika sehemu ya chini ya puru. Kuna aina mbili ambazo ni : •Bawasiri ya nje ; Hii hutokea ndani ya ngozi lakini katika sehemu ya nje ya tundu la haja kubwa (Anus)...
  3. A

    SoC01 UVIKO -19 inavyodhibitiwa

    Ndugu wazalendo wana JamiiForums hususani jukwaa la Stories of Change Kwa afya niliyonayo leo ninawaombea wote pia Mungu awaunganishe na Mimi katika andiko langu hili mkiwa na afya njema mungu awabariki na awaepushe na tatizo lolote la kiafya, Leo nitachambua kinagaubaga juu ya ugonjwa hatari...
Back
Top Bottom