“KIDAWA”
UTANGULIZI
Jioni kama saa 12 hivi na dakika zake, binti mrembo katika kijiji cha Mwembeni, akitoka kuchota maji kisimani ghafla wanatokea vijana wawili wenye nguvu wanamsimamisha na kuanza mazungumzo nae, kabla mazungumzo hayajaisha binti yule anatupa ndoo chini na kuanza kukimbia huku...