Recent content by Abou Twika

  1. A

    SoC02 Ukitaka kufanikiwa kwenye maisha yako, basi zingatia haya

    By Abou Twika 0784327893 Mafanikio ni safari yenye vingi vikwazo, vilima, maumivu, na mipito ya aina yake. Uwepo wa vikwazo katika safari zetu, ni moja ya sababu inayopelekea wengi wetu kukata tamaa, na hata kufikia tamati ya kuendelea kuamini mwagiko la jasho. Kuna njia kadha wa kadha ambazo...
  2. A

    SoC02 Jinsi kasumba ya kielimu, inavyochangia kudidimiza na kupoteza vipaji vilivyoonekana kukirimiwa kwa baadhi ya watu

    By Abou Twika 0784327893 Awali ya yote, nianze kwa kuwasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Ni imani yangu mu kheri wa afya, na wale wote tuliye na maradhi inshallah, kwa neema zake rabuka atatupa mrejesho wa afya zetu. Twendeni pamoja kwenye mada isemayo, ni jinsi gani kasumba...
Back
Top Bottom