Ni vema hata watu maskini watazamwe sasa,mimi kwa kiasi kikubwa nalia na hili tatizo la kujichua kwa sababu kuna malalamiko mengi sana ya watu wakidai kuacha imekuwa tatizo labda pengine uwepo usaidizi maalumu ili wapate msaada. Au wewe unaonaje?
KAMA ILIVYO KWA MADAWA YA KULEVYA IWE HIVYO HIVYO KWENYE PUNYETO(KUJICHUA)
Suala la kujichua(Kupiga Punyeto) Au bakari nondo kama wengine Wasemavyo,Limekuwa ni tatizo kibwa Sana Ambalo limekiathiri kizazi Cha vijana Wengi na hata watu Wazima.
Suala hili la Kujichua limekuwa likianza kuwaathiri...
Nipende Kutanguliza Shukrani zangu za Dhati kwa Jamii Forums kutufanya Kuyafikisha Yaliyokuwa Vichwani Mwetu Kwa Jamii Hii kwa Manufaa Ya Taifa Letu. Katika Kutangulia kwa Makala Hii nianze kwa Kuelezea kidogo kuhusu kipaji.
Kipaji ni Uwezo Ambao Anapewa Mtu katika kulifanya Jambo fulani kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.