CHEREHANI YA KUTUMIA MKONO yenye ukubwa wa Stepler pin machine ambayo unaitumia kushona palipochanika/kufumuka kwa urahisi. Inashona kama cherehani ya kawaida.
Haitumii betri
Rahis kubeba...
Kiwanja chanika bwaja dakika 5 kutoka barabara kuu.
Ukubwa heka 1 na nusu
Hakina udalali
Bei mil.20 tu.
Kiwanja kipo eneo tambarare na zuri unaweza ukakitumia pia kama shamba.
Piga 0629992942
Habari wakuu ,
Tunauza mikoba ya ngozi, bei ya rejareja ni Tsh. 35,000/= na jumla itategema na idadi unayochukua. Ukihitaji karibu dukani kwetu Tegeta Dar es salaam au wasiliana nasi...
Habari wana jamvi
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji display ya samsung s8 kutokana na simu yangu kupata hitilafu kidogo,
Kwa yoyote aliyonayo hata kama ni used tuwasiliane
0758728258
Habari wana JF
Ninauza asali mbichi, Jumla na rejareja
Asali haijachakachuliwa yaani haijaongezwa chochote
Nauza kuanzia ujazo wa robo Lita hadi Lita 20
Robo Lita Tsh 3000
Nusu Lita Tsh 6000...
Luxury Quartz Male Wrist Casual Leather Band Watch
Brand: Miler
Condition: New
Band Material Type: Leather
Case Material: Stainless Steel
watch color: black & brown
Price: 40,000 ( Haipungui )...
Nilinunua piki piki kwajili ya matumizi binafsi kwenye shuguli zangu za kila siku.
Kwa sasa nimepata usafri mwingine kwajili ya shuguli zangu.
Na mimi ndio mwenyewe piki piki hii na...
Wadau nilinunua hii mashine mwaka jana mwezi wa 11 hivyo bado mpya ina milango 8 na master,shilingi 600,000/=,kinachonisababisha kuuza ni kukosa usimamizi wa biashara niliyotaka kuifanya...
Nauza Metal feni iliyotumika muda mfupi, infaa kwa matumizi ya kumbi za mpira, baa, club, kanisani na sehemu kama hizo. Bei ni 120,000. Tsh. Ni inbox nikuuzie.
Najua ni wengi wanakereka na hili,lakini zipo njia nzuri za kuweka mwili sawa, FITNESS EMPIRE tunakuletea kifaa rahisi kwa mazoezi ukiwa nyumbani kifaa ambacho unaweza fanya mazoezi ya mwili mzima...
MAHINDI yanauzwa Tsh 470/kg
Ziko tani 400
Mzigo unapatikana tabata- Dar es salaam.
MAGUNIA yaliyotumika mara 1 yanauzwa.
Yako 2200
Bei kwa gunia 1 ni tsh 2500
Magunia yanapatikana tabata- Dar...
Wakuu habari za mihangaiko na kutafuta maendeleo!.
Nimeanzisha Uzi huu maalumu kwa lengo la kuwaleta Engineers, Civil contractors na project managers pamoja kwa lengo la kupeana taarifa...
Habari Za mchana, kuna shamba Linauzwa vifaa tunauza vifaa vilivyokuwepo ndani ya shamba kama ifuatavyo; solar panels na battery yake size ya 300watts laki 6,vitanda viwili 4*6 kila kitanda laki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.