Najua ubize wa kazi na majukumu ya kila siku imekua ni changamoto kwako kuweza kufanya mazoezi ya mwili,wakati mwingine unafika nyumbani muda umekwenda sana na kushindwa kuhudhuria gym,sasa sisi...
Kuku wa nyama aina ya kroila, wamechanjwa chanjo zote.
Wana miezi mitano na wengine miezi mitatu nawauza kwa jumla.
Wamefikia umri wa kuanza kutaga.
Sababu ya kuwauza ni kwamba nahamia mkoani...
Ofa ofa Ofa ofa Ofa ofa
Ngomemachine wanakuletea toleo jipya la mashine
ya kupukuchua mahindi kwa jina inaitwa kungula
Inapukuchua mahindi
Tani 2.5 ndani ya saa moja. hivyo ukipukuchua kwa
masaa...
Jiko la umeme used lenye plate nne linauzwa kwa bei ya Tsh 130000 Lipo maeneo ya mbezi Beach goigi. Lina ovena pia.. Na ni zima ispokua plate mbili ndo hazifanyi kazi ni za kubadili.. Kwa anae...
BlackBerry passport kwa ajili ya spare inauzwa..imeharibika connector za keyboard kwenye motherboard..ukiweka motherboard nyingine inafanya kazi vizuri tu mkanda wa keyboard bado mzima kabisa...
Wakuu salam,
Ninauza freezer tajwa hapo juu kwa bei ya shilingi za kitanzania 450,000/= (laki nne na elfu hamsini tu).
Lipo dodoma mjini.
Mawasiliano: 0746426085
Karibu.
AMD E SERIES DUAL CORE PROCESSOR
1.50Ghz PROCESSOR SPEED
4GB RAM
500GB HDD storage
15.8 inch screen
High definition display
Shared graphic card
2 usb 2.0 ports
Up to 6 hours...
SMD rework station 100,000 gun yake tu ilizingua
Fingerprint module for arduino 60,000
Speakers hizo 10,000
Motherboard hiyo utanipa 35,000
Mahali: kigamboni, Dar es Salaam
Karibuni
Nauza kampuni ya clearing and forwarding yenye leseni mpya haidiwi chochote kwa yeyote aliye interested ani PM au nicheki kwa namba 0622-027490
Post sent using JamiiForums mobile app
Salaam JF,
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojinadi. Nahitaji sofa used lililo katika hali nzuri la kukaa watu wawili kwa maeneo ya Dsm, Lisiwe na kunguni Offer yangu elfu 50 tu, kama unalo...
Nauza Earphones original za Samsung nimetoa kwenye simu(baada ya simu ya kwanza kupotea) bei yake ni elf 8 tu(hazijatumika hata siku moja-brand new), pia kuna charger ya Samsung nyeupe na ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.