Habari wakuu,
Tumeshusha mzigo mpya wa simu simu zote mpya pamoja na used. Simu za mezani, unaweka laini yoyote inakaa na chaji si chini ya siku nne kwa matumizi ya nyumbani na ofisini...
Hello, nauza simu yangu google pixel 3a nimenunua mwezi uliopita 300000.
Tarehe Moja/8 napata simu nyingine naiuza hii 200000.
Unaweza lipa Kwa awamu 2.
Nipo, Dar es salaam.
Available
Samsung S10 5G
512GB ROM
8GB RAM
Triple Camera with 16/12Mp
4k 60fps with dual video recording mode
in display finger scanner ULTRA SONIC
1440p display
60hz
Wireless Charging...
Kwaza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa Mungu na pia kwa mtu alienisaidia humu JF nikapata kazi.
Sasa nataka kuuza simu yangu infinix hot 7 180000 ili niweze kupata nauli ya kazini...
Dsm 0626 876 896
256gb
Camera nzuri sana.
Inakaa na charge muda mrefu.
No scratches No blemish.
Haina tatizo lolote, simu yangu binafsi nauza.
[emoji419]picha zimepigwa kwa Tecno
Simu ni SAMSUNG A02s
Ram 2b
Storage 32gb
Battery 5000mAh
Camera 13MP, 1080p
Simu ni nzuri na haina tatizo lolote.
Bei ni 150000tsh.
Nicheki kwenye namba 0743491497
Simu kali sana used kutoka dubai zinauzwa bei ya kutupa.
Kuanzia 250,000 unajipatia samsung S7
samsung S8 kwa 290,000
Samsung S9 kwa 320,000
Samsung S9+ kwa 380,000
Samsung S10 kwa 400,000...
Wakuu inakuaajee
Nataka nichukue Mali moja kati ya hizi zote naztaka lakini nataka nichukue moja tu naombeni ushauri ipi nipite nayo kati ya Samsung S10 plus au iPhone X plain
S10+ ram 8gb...
Habari zenu ndugu
nauza simu yangu iphone 11 eleven
simu ni mpya kabisa nauza pamoja vyote hivo
kwa bei ya laki 8.5
sifa zake
GB 128
bettry 100
face id iko vizuri
simu haimjui fundi
namba...
Hii ofa sio ya kukupita karibu ujipatie Sharp Aquos Zero (Japan Brand) ni mtumba kutoka USA kwa ofa ya 275,000 Tu, hii unapta simu pamoja na USB- Type C charger.
0764081567
Free delivery...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.