Hope all is well oooh..
Tafadhali, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu...
Kiwanja kina;
-Hati
-Maji
- Umeme
-Nyumba (ya zaman ) anaish anaelinda eneo
PRICE : 80M
Kama upo interested nichek...
Hope all is well oooh..
Tafadhali, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu...
Kiwanja kina;
-Hati
-Maji
- Umeme
-Nyumba (ya zaman ) anaish anaelinda eneo
PRICE : 80M
Kama upo interested nichek...
Viwanja vinauzwa vipo njia ya mkuranga kituo kinaitwa mwanambaya.
Kiwanja vimepimwa na kila kiwanja kina barabara ya mta uduma ya umeme ipo uduma ya maji safi ipo. Viwanja vinaukubwa wa fut 50×40...
Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 20x25. Kipo Mabwepande karibu na hospital ya Wilaya. Mauziano ni Serikali ya mitaa, huduma muhimu zipo karibu. Bei ni sh 8,400,000.00 Ukitaka maelezo zaidi piga...
ENEO LA UKUBWA WA SQM 120,000 SAWA NA EKARI 30 LINAUZWA
LIPO BOKO-DAR ES SALAAM.
ENEO LIMEZUNGUKWA NA BARABARA YA LAMI.
ENEO LINA FENCE.
HATI SAFI YA WIZARA.
BEI BILIONI 6.
🇹🇿Call/WhatsApp...
Habari ndugu zangu,nauza kiwanja ukubwa ni 20 ×24 kiwanja kipo karibu na barabara ya vumbi inayoenda mlingotini kina karatasi ya mauziano bei 6,00,000/= maongezi kidgo yapo
Phone number...
Habari,ninauza kiwanja kilichopo wilaya ya ubungo, Kata Makuburi, kipo karibu na kwa mzee wa Upako. Karibu Km 1.5 kutoka Mandela road. Ni mwendo wa dk 20 kwa miguu kutoka kituo cha daladala ubungo...
Kiwanja kikubwa cha mita za mraba 940 na kimepimwa kiko Goba wilaya ya Ubungo umbali wa kilomita 2 kutoka Goba senta. Kiwanja ni mali yangu mwenyewe hivyo hapa hakuna udalali, nifate inbox...
PLOT FOR SALE MBWENI
Plot safi kabisa hii hapa Inauzwa
Iko Mbweni mpiji inagusa lami
Ni sqm 1000
📌🗒Ina Hati safi kabisa
📌Ni pazuri sanaa Kuna nyumba pia kama unavyoiona kwenye picha hapo
📌Plot...
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa Bunju A.
Viko vinne
Vimepimwa
Umbali ni meter 500 kutoka Bagamoyo road
Karibu na shule
Pembezoni mwa barabara kubwa ya mtaa
Huduma za umeme na maji zipo...
Eneo hili liko Pangani - Kibaha Mji, jirani na ofisi za Mitamba, umbali wa kilomita 2.5 kutoka kituo cha mabasi cha Kibaha na Kibaha Shopping Mall, au kilomita 1 kutoka mnada maarufu wa mbuzi wa...
Nauza eneo langu, lipo Kigamboni Mwasonga heka mbili
BEi: 15 million
Halijapimwa, lina document za mauziano za serikali ya mtaa
Linafaa kwa kukata viwanja, kilimo, ufugaji, makazi n.k
Hyo barabara...
Ndugu wa Wana Jamii forams, habarini za za Leo?
Kama nilivyo taja hapo juu , eneo liko Makambako. Km 12 Toka stand kuu y a Makambako.
km 4toka barabara ya kuelekea Songea.
Ukubwa acre 4
Bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.