Hello mwana JF
Wengi wetu tunapata changamoto kupata wallpaper nzuri za simu. Ama tunaweka wallpaper zinazotuumiza macho kwa namna moja ama nyingine au tunatumia wallpaper lakini imekuchosha na...
Wakina Dada/Mama kupendeza ndo habari ya mjini, Popote ulipo tunakufikia kwa gharama nafuu kabisa, vitu Original kabisa hakuna copy.
Bei 55,000/= ukichukua zaidi ya 3 punguzo lipo
WhatsApp...
Google Pixel 3a for Sale
Released 2019
New, full boxed (protector, cover, charge and usb type C to C fast charger, sim pin ejector)
Ram 4 Gb
Rom 32 Gb
Best Camera
Bei 595,000
NO EXCHANGE
Nipo...
Habari mwana jf; karibu ujipatie subwoofer aina ya boss kuna ya spika 3 pia kuna spika 5 zote ni mpya na zina warrant ya mwaka 1 zote izo zina uzwa bei poa na utaletewa kwa laki 195,000 kila moja...
Wauzaji wa viatu vya kimasai jumla na rejareja
Tunapokea Oda pia
Mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa
Jumla kuanzia pic3
Tunapatkan.mbagala kuu/kijich
Whatsap&call.0675172174.
Je! Una nguo za zamani ambazo unazipenda lakini huwezi kuzivaa kwa sababu Zimepauka?
Tunakusaidia Kuifanya kuwa mpya kwa kuikoleza rangi.[emoji153]
Tunakusaidia kubadilisha Rangi [emoji156]...
Gari ya kufanyia mitikasi ya mjini bila kuumiza mfuko..in mint condition
cc 990.
mziki mnene.
inapatikana nyuma ya 5n Sinza
Mawasiliano; 0738783625
Sent using Jamii Forums mobile app
Lathe machine kubwa urefu mita 3, swing overbed 800mm, 3jaw chuck na 4 jaw chuck bado mpya bei mil 30m maongezi yapo.
Mashine ya kutengeneza misumari complete set bei 40m, inchi 2.5 mpaka inchi...
Ili biashara yako itambulike kisheria inahitajika isajiliwe na usajili unafanyika kwa kutumia system ya BRELA ORS. Ili uweze kufanikisha usajili huu unahitajika uwe na namba ya NIDA na TIN kwa...
Nahitaji pikipiki ndogo ya kukunua mfano wa vile vipikipiki vya kina mama kuhemelea mahitaji ya nyumban kama kunamtu anacho kilichotumika apige kwa no 0762110272 /0710295529
Ninafanya mradi wa kununua na kuchakata mawe ya madini ya dhahabu katika mgodi wa Mwime wilayani Kahama
Katika kutafuta kukuza mradi, ninahitaji kupata mshirika tutakaeshirikiana ili kuweza...
Habari Nina sofa naziuza LA MTU 1, 2 ,3 nauza zote kwa laki 600,000 maongezi yapo njoo na usafiri wako ubebe nipo viwege dar es salaam, ili kufika viwege kwa mtu yoyote yule anae tokea kokote kule...
MAHALI: Tupo Dar es salaam sinza
makaburini/kwenye
mchepuko wa kuelekea
mlimani city upande wa
kulia, utakutana na bango
kubwa likisomeka
MUBA SOUND
TUNA PIMP NA KUBADILISHA MUONEKANO WA GARI...
Hii gari nauza gari bado mpya kabisa
Gari injini mdogo
Imekamilika kila idara
Full ac
Full documents
Bei milion 7.5 fexd
Nipigie 0719909691
0763166893
Karibuni
Habari wana bodi.
Kama kichwa cha habari kilivo,
Natafuta Mzalishaji wa Sabuni za magadi za Kigoma alieko Kigoma ili tuwe tunafanya biashara, yeye ananitumia mkoani.
Uwezo wa kuchukua ni hadi...
Omnibus survey is a cost sharing national wide survey where more than one client register their questions, share cost aand their questions are administered to 2000 of age 18+ respondents in all...