Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ndugu wajumbe, Pombe hii spirit ambayo imejipatia umaarufu mkubwa mtaani kwa siku za karibuni ambapo inazalishwa hapa hapa Tanzania mkoa wa Shinyanga. Wakati watu wakiendelea kufurahia radha...
9 Reactions
67 Replies
10K Views
Bei maelewano. Ilala - Dsm 0767953873
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Nyumba yenye vyumba vitatu kimoja master, Sebule, Jiko, Dinning na store Inauzwa Makongo juu. Nyumba haipo mbali na Barabara kuu iendayo Goba na mlimani city! Nyumba ipo ndani ya fence yenye...
0 Reactions
0 Replies
316 Views
Vivanja 2 vinauzwa Kimara stop over. Ni Kilometa 4.5 Kutoka Kituo cha basi Stop Over, Upande wa Kulia kama unatoka Ubungo. Ukubwa wa viwanja Sqm 903-Mil 38 Sqm 1117-Mil 43 Vimepimwa ila hati...
0 Reactions
2 Replies
248 Views
Tunauza bidhaa Bora & Original kwa Bei nafuu sana!! Tunakusaidia Kujua bidhaa Original na zenye Ubora kwa hali Ya Juu sana! mawasilino zaidi Mimi nauza online(winga) sina duka. soko la...
7 Reactions
252 Replies
7K Views
Wakuu nina Bat ziko Karibu 100 nauza ni gauge 28 zimepigwa msumari mara moja tu hazina Kutu zinaonekana kama mpya kabisa. bei ni elfu nne, elfu tano na elfu kumi na nae na nyingine elfu ishirini...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Jina la Biashara: Umuhimu, Namna ya Kulisajili na Faida Zake:D:D 1. Utangulizi kuhusu Jina la Biashara Jina la biashara ni utambulisho rasmi wa biashara au kampuni inayotambulika kisheria. Jina...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta vijana wenye umri kati ya miaka 20 hadi 28 kwa ajili ya kusimamia akaunti za biashara kwa kutumia mfumo wa roboti (robot) katika mazingira ya ofisi iliyopo Kinyerezi Mwisho, Dar es...
3 Reactions
3 Replies
226 Views
Kijana wangu anahitaji pikipiki used (iliyoko kwenye hali nzuri) cc150 ili iweze kupanda milima ya Rombo ikiwa imepakia mzigo (Isiwe Boxer) IWE NA UMILIKI HALALI.....Offer yake ni shs 1mil cash...
3 Reactions
5 Replies
414 Views
Whitegoat is the fashion brand design with new look to the all level of design and quality on digital design at the new generation class (Logo,fashion cloth design,business financial)
0 Reactions
2 Replies
190 Views
Viwanja viwili vilivyo shikana VINAUZWA Kila kimoja kina UKUBWA wa sqm 750 Na kwa kimoja KINAUZWA kwa tsh 150 milion Unaweza uka double au uka Chukua kimoja kimoja Viwanja vipo meter 200 kutoka...
1 Reactions
7 Replies
708 Views
Tunachimba visima virefu na vifupi mikoa yote: ZIFUATAZO NI GHARAMA ZA UCHIMBAJI KILA MKOA Dodoma -mita moja tunachimba 80,000 na survey tunafanya kwa 400,000 Arusha-mita moja tunachimba...
0 Reactions
1 Replies
212 Views
**🏡 -ina gharama nafuu! Vyumba 2 vya kulala (kubwa na zenye nafasi). Bafu na Choo: *Jiko * Sebule: Sebule ya kupumzika/wageni. (ceiling fans) na *Air Conditioner (viyoyozi) (AC) kwa ajili ya...
1 Reactions
2 Replies
262 Views
JE, UNA NDOTO YA KUWA ENGINEER, AU DOCTOR?. Timiza ndoto yako sasa. Karibu MAPAMBANIO CENTRE- TEGETA NYUKI, uwe Master kwenye PHYSICS, CHEMISTRY, BIOLOGY na MATHEMATICS (O LEVEL & A LEVEL)...
0 Reactions
1 Replies
253 Views
JE, UNA NDOTO YA KUWA ENGINEER, AU DOCTOR???.. Timiza ndoto zako sasa. Karibu MAPAMBANIO CENTRE- TEGETA NYUKI, uwe Master kwenye PHYSICS, CHEMISTRY, BIOLOGY na MATHEMATICS (O LEVEL & A LEVEL)...
0 Reactions
0 Replies
183 Views
Mwenyewe ameshauza
3 Reactions
13 Replies
684 Views
Habari zenu.. Nauza samaki aina ya migebuka kwa jumla na rejareja.. Naweza kukuletea ulipo kulingana na idadi ya samaki utakaochukua.. Kuna wa mafungu na kuna mmoja mmoja. Bei ya mafungu ni 2000...
5 Reactions
73 Replies
23K Views
Akiongea na vyombo vya habari kuhusu Sakata La Dada wa Aliyekua Balozi Cuba, Katibu mwenezi CCM , Mh Polepole, Leo Afande Muliro anamuita "Et MTU aliyejitambulisha ' Wewe Muliro Wewe utadhan...
5 Reactions
7 Replies
421 Views
Habari zenu? Kiwanja kinauzwa 22X40 meters kina nyumba ya vyumba 3,na eneo limebaki wazi linatosha kujenga nyumba kubwa. Kinatapatikana Bomang'ombe,Hai,Kilimanjaro.Nipo jirani na St.Dorcas...
0 Reactions
2 Replies
803 Views
Registration Section 11 (1) of NSSF Act. (Cap. 50) requires every registered company under Companies Act, 2002 is required to be registered by NSSF and issued a certificate of registration...
0 Reactions
0 Replies
451 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…