Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wa jf nauza pikipiki boxer 150 kwa bei ya sh milioni moja na laki 6, (1.6) inapatikana dar kiwalani, haina tatizo lolote karibuni wateja , 0785332010 au 0719103409
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yellow one 600cc almost new for 6m(Tsh) black one 650cc used ktk mint condition for 4m(Tsh) Location: Salasala (DSM) contact (0626409908)
1 Reactions
0 Replies
835 Views
Machine ya kukamua Juisi ya miwa inauzwa imetumika kwa miezi sita na list yake ipo.Ipo vingunguti stand barabara ya kwenda airport. Bei ni Sh.800,000/= maongezi yapo bei inashuka haina tatizo...
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Electrical popcorn machine inauzwa, Ipo katika hali nzuri sana ilitumika kidogo ikawa imekaa tu ndani Bei 200,000/= (haipungui) Location: kunduchi mtongani Call 0762 854563
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa, Hii ni Mara ya Tatu naleta threads yangu ya TANGAZO la biashara Cha kushangaza kila nikiweka TANGAZO wanafuta Naomba kujua Hii ni biashara haramu? Nini nimekiuka kwenye hili...
4 Reactions
24 Replies
6K Views
nauza hizi mashine za Stationary..chagua unayoipenda hapo..njoo na ofa yako nzuri kabisa ..tuafikiane uchukue bidhaa.. NB. Zimeharibika hazifanyi kazi..ila unaweza ukazirekebisha zikapiga mzigo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Model: Panasonic Ina access, CD/DVD, flash, SD card Unafanya kazi vizuri (good conditions) Location: dar WAT: 146 Bei: 400,000/ tzs Mobile: 0785 857564
3 Reactions
22 Replies
5K Views
Leo nna mzigo mwingine... Huu unaitwa MSR X6 Bluetooth Deftun. Huu unausika na kutengeneza Door Lock zenye high security zinazotumia smart credit card [emoji388] Kama za Bank kufugulia milango...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wireless mic model:BOYA Tsh.300,000
0 Reactions
4 Replies
700 Views
.
0 Reactions
0 Replies
523 Views
Rola moja ya senyenge ina urefu wa mita 600,na senyenge ina unene wa milimita1.6. Senyenge hizi hazishiki kutu(galvanized). Inafaa kwe fensi ya nyumba,maboma ya mifugo,shamba,nk. Bei kwa...
1 Reactions
13 Replies
9K Views
Imebaki hii meza ya chakula ni nzuri sana, ina viti sita, meza bado ni mpya kabisa, katikati ina kioo. Bei ni laki sita. Ipo Nyakato Mecco Mawasiliano 0622723082.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza mizan ya kupimia bidhaa za dukani.Haina tatizo lolote. Imepimwa kila kitu Bei:Tsh 80000 Morogoro 0658971481
0 Reactions
10 Replies
5K Views
[emoji91][emoji91] AIR PODS 3 Sealed. [emoji91][emoji91] N.b NI UPGRADED VERSION ZENYE HIGH BASS. SEALED BOXES 23,000TSH RANGI ZIPO MBALIMBALI Free delivery in Dar es...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Ni Kampuni ya AILYONS, imetumika miezi mitatu tu. Feni ni nzuri na yenye nguvu. Bei ni 45000/= Njoo Kimara Mwisho uchukue. 0687603307
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wadau nauzA friza kubwa milango mitatu bei sh 1,800,000 ni Aina ya Von. Mzani unapima mpaka kilo 300, bei 300,000 Vyote vinapatikana Dodoma mjini Walio serious kununua tuwasiliane Kwa no 0745305685
0 Reactions
10 Replies
4K Views
-Ujazo mayai 90 -Inageuza mayai -ina ratibu mvuke -Inaratibu joto -Matumizi ya umeme hadi kutotoa wastani wa UNIT 25 (Tsh 12000/-) -Material Chuma + Plastik ngumu (inaangaza ndani). -Ina uzito wa...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
cc 125 petrol engine betri nzima kabisa. ya kuwasha na kuondoka Located at: Mtongani Dar 0683011003
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom