Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji hii kitu, nataka kujua bei yake na wapi naweza kupata, mwenye uelewa nazo tafadhali naomba muongozo
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mibech Company Limited is the private limited Company which was dully registered by the Business Registration and Licencing Agency (Brella) located at mivinjeni kurasini Dar es salaami. The...
0 Reactions
13 Replies
10K Views
Hili capeti ni kubwa sana original from Turkey ukiwa na chumba kidogo tafadhali usinunue, Naliuza bei ya hasara 80k only Location dsm No 0654757823
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Godoro aina ya comfy 5`×6 inch 8 used miez 4 tu Bei ya sawa na bureee Tsh.140000/= Morogoro mjini 0789111144
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jamii; natafuta Tv ya kununua used iwepo Mbeya mjini (flat screen).mawasiliano whattasapp:0747175984 Iwe Mbeya jiji jamani
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi viatu naviuza bei ya kutupa vyote ni vya ngozi ngumu, utatumia utavichoka mwenyewe. Naviuza bei ya kutupa vyote pair 2 jumla ni 50k tu. Kikubwa hiko no 45 kidogo no 44 Location DSM No...
2 Reactions
53 Replies
5K Views
Wadau salaam! Naitaji nshine ya kutengeneza Juice ya miwa kwa Dar. Iwe mpya au used kwa bai rafiki! Naomba ni PM kama u a offer.
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Ballon Engne 1g kavu (engine haina shida yoyote, njoo na mtaalam wako akusaidie kui zoom) Full ac, full kipupwe Bei mil 2 haipungui, Unapewa mafuta lita 20! Ipo Dodoma, makao makuu ya nchi...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Kwa miaka zaidi ya 15 ambayo umekaa kwenye mfumo wa elimu umejifunza vitu vingi sana. Kwanza ulijifunza jinsi ya kusoma na kuandika, baadae ukajifunza vitu muhimu kwenye historia, jografia...
5 Reactions
27 Replies
10K Views
Habari za muda wana jf. Ningependa kuuliza kama kuna mtu yeyote anajua gharama ya kukodi fremu za juu kabisa pale soko jipya ya kisutu.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari ndugu,nahitaji mwenye anaeuza saketi ya samsung note 10 plus anichek 0744481066
1 Reactions
2 Replies
1K Views
*****†********
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Jifunze kutengeneza sabuni ya kipande ndani ya nusu saa bila kutumia mashine. Jifunze sabuni zaidi ya 10 ikiwemo sabuni ya udongo,ya ukwaju, ya Asali, ya liwa, ya manjano, ya kahawa, ya habat...
0 Reactions
2 Replies
720 Views
Habarini za majukumu wakuu!, Muhusika wa hii account ni mjasiriamali na mkulima mdogo ninae jihusisha na kilimo cha zabibu Dodoma kwa lengo kuu la kutengeneza Mvinyo (Wine) na wine hizo...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Toyota Rumion ,petrol ,1490Cc ,automatic ,Full Ac ,very gyd condition naiuza 14mil serious buyer contact 0742597424
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Meza ya chakula inauzwa sh 60,000 piga sim no 0765153701
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Habarini za muda huu wana jukwaa...natafuta mtu anae uza mayai ya kienyeji kwa bei ya jumla Dodoma tufanye biashara!
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Kama heading inavyosomeka anaefahamu wapi naweza kupata makoti ya mvua kwa bei ya jumla (low price) anisaidie... Natanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…