Jamani wahitimu wote wa vyuo na hawana kazi tafadhali tujuane hapa.
Mimi nimesoma chuo kikuu cha Dodoma shahada ya ukunga (bachelor of science in midwifery ) 2019.
Nimetuma maombi kila kona ata...
The leading Warehouse/Industrial's WALKWAYS Painting and SAFETY Signages Specialist.
Contact Extraseen Company for more info at +255 625 962883.
We will visit your site for survey then will...
pikipiki chapa Gsm.
Full Docs.
cc 150, 5 gears.
Haina changamoto zozote ni kuwasha na kuamsha
Spea zake zinaingiliana na fekon, KiNGLION, San lg
ipo Dar. Mbagala Zakhem
habari wana jamiforum mashine ya kuranda na kuchana mbao inauzwa iko vizuri kabsa kwani utaifanyia kazi kabla ya kuilipia.
Bei ni maelewano :0747175984:pia whattsapp:0747175984:
ipo Mbeya.ila...
Nimehangaika sana kutafuta Frame za miwani kama hii maduka mengi sijafanikiwa. ningeomba mwenye ufaham anisaidie ntapata wapi frame za miwani kali kaam hizi.
Gari iko poa haina shida yoyote.
Tairi mpya.
vioo vipya.
Gari ni ya kumwaga oil na hydrochloric tu.
tuwasiliane chap twende bandarini tukachukue gari
location: Bandarini Dar es salaam...
Habari wana JF!
Kiwanja kina ukubwa wa mita 24 kwa 20 chenye nyumba kubwa iloishia kwenye linta inauzwa,bei ni Milioni 15 (Punguzo unaongea).
Nyumba ipo Bomba mbili,unashuka Mombasa(kabla...
Kiwanja kinauzwa kiko mita 200 kutoka kituo cha kona ya maroroni maji ya chai barabara kuu ya moshi arusha
ukubwa ni mita 30 kwa 15
kinaumiliki halali kiwanja kimezungukwa na maeneo...
NYUMBA inapatikana KITUNDA, nyantira
Km 3.5 kutoka nyerere road (old pugu)
Nyumba INA chumba kimoja (self), sebule na jiko.
Ina tiles, gypsums na slides windows.
Maji+Umeme (24/7)
Iko ndani ya...
Hii sio ya kukosa viwanja vipo mwembe mdogo Kigamboni vina ukubwa wa mita
Kuanzia 20×20 na kuendelea Bei ml 5 pia
Unasikilizwa mteja malipo asilimia 50
Kilicho baki ndani ya miezi mpaka 3 tucheki...
Habari
Nauza gari Nissan extrail for repair or spare.
Ilipata ajali ikagongwa mbele. Inahitaji nose cut complete. 2004
Tuwasiliane kwa namba 0713750760 bei 3,800,000 gari iko Dar Goba. Engine...
Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA na Meya wa zamani wa Ubungo mh Bonny Jacob sasa amejikita kwenye ujasiriamali anauza mayai ya kisasa jumla na reja reja
Kwa maelezo zaidi tembelea kurasa zake za...
Habari wana jukwaa, kwa wakazi wa Mbeya mjini wenye uhitaji wakusafirisha 🚚bahasha ndogo ndogo, mizigo kama furniture, gunia za mahindi n.k. kwa hapa hapa mbeya mjini na pia kuelekea Mkoa wa...