Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau habarini! Nina kiwanja kimepimwa kipo Dodoma eneo linaitwa Swaswa mbele kidogo ya makazi ya Waziri Mkuu na jirani kabisa na inakopita barabara ya kuelekea Airport tarajiwa ya Msalato...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu mpendwa, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu, ENEO la ziwani hekari 20 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site, SIFA ZA...
0 Reactions
88 Replies
8K Views
Wasalaam Kiwanja kilichopimwa kinauzwa ,kiko NYEBURU Mita 800 kutoka barabara kuu ya lami kituo cha Italian (ukielekea Chanika upande wa kulia) SIFA ZAKE;kimepimwa kwa uzito wa chin LOW DENSITY...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Ndg Eneo Linauzwa Lipo Kinyerezi Kifuru Mtaa wa Hali ya Hewa Ukubwa wa Eneo 35*25 Lina Hati Miliki na Pia lina nyumba amabayo aijamalizika Eneo halina Mgogoro Bei Milion 17 Mawasiliano...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa Mahitaji ya viwanja nicheki Nina kiwanja kipo kinyerezi king'azi bei milioni 3 ukubwa 20×20 Pia mbezi makabe 20×20 bei milioni 6 Kingine kibamba Kiluvya milioni 3.5 ukubwa 20×20 Nicheki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Viwanja viwili tajwa hapa chini vinauzwa, vyote vina hati miliki vipo karibu na mizani ya zaman ya kibaha for serious buyers pm for price Title 45916 kibaha area sqm...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
kiwanja kinauzwa cha ukubwa wa 1734 sqm kipo chanika (ukipanda basi la chanika unashuka kituo kinaitwa Kwa Sadala) kina hati ya umiliki na hakina mgogoro, kiko 300m au pungufu kutoka barabara kuu...
0 Reactions
0 Replies
597 Views
Nauza kiwanja 20×20 kipo Kiluvya kilomita 1 kutoka lami kuu karibu na zahanati ya Kiluvya na shule ya sekondari bei yake milioni 3.5 mazungumzo yapo Mawasilian
0 Reactions
4 Replies
787 Views
Kiwanja chenye ukubwa wa 25 kwa 25 ,kinauzwa , Kiwanja kipo kibamba . Kinaumbari Wa m500 ,kutoka morogoro load , katembea kwa miguu mpaka kilipo ni dk 20 /30. gari inafika bila shida. Umeme...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanabodi amani iwe kwenu. Kuna eneo ( Plot) zuri sana liauzwa. Lipo mji wa Kibaigwa Dodoma. 1. Lina ukubwa wa heka 7 2. Lipo pembezoni mwa barabara ya Dodoma-Dar 3. Limepimwa na lina hati miliki...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Viwanja vipo kibamba,kibaha nk mawasiliano 0717342414/0788492588
1 Reactions
28 Replies
11K Views
Kiwanja kinauzwa Dar es salaam,msasani mil 350 Kimweri Avenue near by Tirdo kinafaa ata kwa yard ya magar Mawasiliano 0657 131366
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ukubwa: square meter 1500 (30m x 50m) Kimepimwa na kina hati ni mali yangu hakuna udalali Mahali: Kigamboni Cheka karibu na apartments za Sophia simba, ni 29km kutoka Feri Bei ni Tsh 18,000,0000
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Bonde zuri kwa kulima mpunga, mahindi au bustani linauzwa
0 Reactions
4 Replies
807 Views
Kipo pwani.mlandizi.ukubwa wa 20 kwa 20 .na cha ukubwa wa 30 kwa 20.bei milioni mbili na nusu kwa milioni tatu.umbali toka barabarani km 2. Nipo mlandizi msufini karibia na sheli...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wanaohitaji viwanja vya makazi vilivyopimwa..ndani ya eneo lenye huduma na makazi tayari. Eneo linafikika..mtaa unaitwa Leperanya/kwa pius.. Mita 300kutoka kituo cha daladala/soko...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja maeneo ya Bunju Mwisho- Kijiweni Bondeni Kipo eneo zuri tambarare urefu hatua 65 upana hatua 40 Km 4 kamili kutoka barabara ya Bagamoyo Barabara ya kueleweka ipo tayari Maji tayari yapo...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wakuu, Viwanja vya makazi vyenye ukubwa wa M.40x30 (zingatia hapa nimevipima mimi mwenyewe na havina hati) vinauzwa maeneo ya Kibaha Kwa Mfipa - Simbani, karibu na kituo cha kulelea...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Habari za asubuhi, Eneo Heka 2 linauzwa, imejengwa nyumba ambayo yenye vyumba viwili vya kulala na sebule pamoja na bafu ndani (haijaezekwa). Mahali: Kikongo - km 9 kutoka Mlandizi stand ukiwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu umundani,tunauza Viwanja maeneo ya Mbagala dar es salaam Kata ya chamazi,mbande mipeko kwa Shilingi milioni mbili na nusu(2.5) tu. Na kwa hekari moja ni Shilingi milioni18 tu. Unaweza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom