Wadau habarini!
Nina kiwanja kimepimwa kipo Dodoma eneo linaitwa Swaswa mbele kidogo ya makazi ya Waziri Mkuu na jirani kabisa na inakopita barabara ya kuelekea Airport tarajiwa ya Msalato...
Ndugu mpendwa,
husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu,
ENEO la ziwani hekari 20 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site,
SIFA ZA...
Wasalaam
Kiwanja kilichopimwa kinauzwa ,kiko NYEBURU Mita 800 kutoka barabara kuu ya lami kituo cha Italian (ukielekea Chanika upande wa kulia)
SIFA ZAKE;kimepimwa kwa uzito wa chin LOW DENSITY...
Ndg Eneo Linauzwa Lipo Kinyerezi Kifuru Mtaa wa Hali ya Hewa
Ukubwa wa Eneo 35*25
Lina Hati Miliki na Pia lina nyumba amabayo aijamalizika
Eneo halina Mgogoro
Bei Milion 17
Mawasiliano...
Kwa Mahitaji ya viwanja nicheki
Nina kiwanja kipo kinyerezi king'azi bei milioni 3 ukubwa 20×20
Pia mbezi makabe 20×20 bei milioni 6
Kingine kibamba Kiluvya milioni 3.5 ukubwa 20×20
Nicheki...
Viwanja viwili tajwa hapa chini vinauzwa, vyote vina hati miliki vipo karibu na mizani ya zaman ya kibaha for serious buyers pm for price
Title 45916 kibaha area sqm...
kiwanja kinauzwa cha ukubwa wa 1734 sqm kipo chanika (ukipanda basi la chanika unashuka kituo kinaitwa Kwa Sadala) kina hati ya umiliki na hakina mgogoro, kiko 300m au pungufu kutoka barabara kuu...
Nauza kiwanja 20×20 kipo Kiluvya kilomita 1 kutoka lami kuu karibu na zahanati ya Kiluvya na shule ya sekondari bei yake milioni 3.5 mazungumzo yapo
Mawasilian
Kiwanja chenye ukubwa wa 25 kwa 25 ,kinauzwa , Kiwanja kipo kibamba . Kinaumbari
Wa m500 ,kutoka morogoro load , katembea kwa miguu mpaka kilipo ni dk 20 /30. gari inafika bila shida. Umeme...
Wanabodi amani iwe kwenu. Kuna eneo ( Plot) zuri sana liauzwa. Lipo mji wa Kibaigwa Dodoma.
1. Lina ukubwa wa heka 7
2. Lipo pembezoni mwa barabara ya Dodoma-Dar
3. Limepimwa na lina hati miliki...
Ukubwa: square meter 1500 (30m x 50m)
Kimepimwa na kina hati ni mali yangu hakuna udalali
Mahali: Kigamboni Cheka karibu na apartments za Sophia simba, ni 29km kutoka Feri
Bei ni Tsh 18,000,0000
Kipo pwani.mlandizi.ukubwa wa 20 kwa 20 .na cha ukubwa wa 30 kwa 20.bei milioni mbili na nusu kwa milioni tatu.umbali toka barabarani km 2.
Nipo mlandizi msufini karibia na sheli...
Kwa wanaohitaji viwanja vya makazi vilivyopimwa..ndani ya eneo lenye huduma na makazi tayari.
Eneo linafikika..mtaa unaitwa Leperanya/kwa pius.. Mita 300kutoka kituo cha daladala/soko...
Kiwanja maeneo ya Bunju Mwisho- Kijiweni Bondeni
Kipo eneo zuri tambarare urefu hatua 65 upana hatua 40
Km 4 kamili kutoka barabara ya Bagamoyo
Barabara ya kueleweka ipo tayari
Maji tayari yapo...
Habari wakuu,
Viwanja vya makazi vyenye ukubwa wa M.40x30 (zingatia hapa nimevipima mimi mwenyewe na havina hati)
vinauzwa maeneo ya Kibaha Kwa Mfipa - Simbani, karibu na kituo cha kulelea...
Habari za asubuhi,
Eneo Heka 2 linauzwa, imejengwa nyumba ambayo yenye vyumba viwili vya kulala na sebule pamoja na bafu ndani (haijaezekwa).
Mahali: Kikongo - km 9 kutoka Mlandizi stand ukiwa...
Habari zenu umundani,tunauza Viwanja maeneo ya Mbagala dar es salaam Kata ya chamazi,mbande mipeko kwa Shilingi milioni mbili na nusu(2.5) tu. Na kwa hekari moja ni Shilingi milioni18 tu. Unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.