Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Shamba liko mvuti ni ekari saba ila zinazouzwa ni ekari nne tu ::mvuti dondwe linapakana na magereza ya dondwe kwa upande wa kaskazini na upande wa mashariki linapakana na shamba la kanari...
0 Reactions
2 Replies
873 Views
Jamani nina shida nauza eneo langu likiwa na nyumba ndogo yenye chumba cha kulala sebure na jiko ipo jirani na project ya standard gauge soga project bei ni 2,500,000 eneo kuna makazi ya watu...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kiwanja kilichopimwa kinauzwa Dege Kigamboni, eneo lipo jirani na mradi mkubwa wa ujenzi wa Dege Eco Village. Kiwanja kipo eneo zuri na kimezungukwa na miundombinu muhimu yote ikiwemo umeme...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninauza viwanja 2 vilivyoshikana jumla vina sqm 3614.. Kuna maji ya kisima Dawasco Na umeme wa 3 phase umefika Kinafaa Kwa makazi Shule Guest house/ lodge Kanisa
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wadau, Wakuu nauza kiwanja mbezi malamba mawili kina upana wa 20m kwa urefu wa 27 kipo eneo lilichangamka sana, ni umbali wa mita 300 kutoka barabara kubwa mpya ya lami ya kinyerezi mbezi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Viwanja vipo Kigamboni Mbutu-Mkwajuni. Vimepimwa na vina mawe, Mnunuzi atamalizia kufwatilia Hati (Title Deed) kwa jina lake. Vina ukubwa tofauti tofauti , umeme umefika na panafikika kiurahisi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
1. Kiwanja Kinauzwa Goba Ukubwa 16M × 16M Bei Tshs 6Milioni 0675107182 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Viwanja havijapimwa vinapatikana Mkonze Dodoma mjini kilomita 10 kutoka mjini na ni kilomita 1 kutoka barabara ya lami. Ukubwa ni mita za mraba 600, bei ni milioni 1.6. Mawasiliano 0758 004 568...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Tunauza Kiwanja Chenye Ukubwa wa Sqm 300. Kipo Goba Muungano, Umbali wa Kilomita 3 Kutoka Salasala. Bei Tsh 6Milion. Serious Buyer PM Or amsumi360@gmail.com Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
896 Views
Kiwanja kinauzwa maeneo ya dege Kigamboni chenye ukubwa wa mita 35*35. Kipo maeneo ya dege Kigambon jiran na yale magorofa. Hakipo mbali na barabara. Hakijapimwa ila kiko kwenye maeneo ya makaz...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Uwanja unaupana wa mita40 urefu mita50 upo mbeya jiji iyunga umeme maji barabala vyote vipo kasolo hati2 !bei mil 25 simu 0766 85 71 20 au 0653 53 89 71 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Hello, We are Selling Surveyed plot located at MbeziBeach, about three hundred meters far from Bagamoyo Road to Site. PlotSize 1600Sqm, Price Tsh.300M Contant Us: amsumi360@gmail.com Sent using...
1 Reactions
7 Replies
815 Views
Message… kiwanja kinaukubwa wa 50×80m kinafaa kwa makazi ya watu na huduma za maji na umeme zinapatikana barabara nzuri ya kupitika hadi kwenye eneo piga simu kwa maelezo zaidi 0679113190
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nauza viwanja viwili kwaajili ya makazi. - Kimoja kina Ukubwa wa 33 x 20 na cha pili 30 x 30 - Vipo wilaya ya Hai (Bomang'ombe-Kwa wasomali) km 1 kutoka Barabara kuu ya Moshi - Arusha -...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna kiwanja maeneo ya kariakoo Mtaa Magila nyumba namba 13.....karibu na mtaa msimbazi..... Bei 1.2b maongezi yapo..... Karibuni sana.... Piga namba Hii kwa maelezo zaidi..... 0717767875.....
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kiwanja kipo km40 kutoka kigamboni. Kina ukumbwa wa mita20 kwa mita20.Kiko jirani na barabara kuu na njia panda kwenda Ufukweni (beach). Panafaa sana kibiashara kama maduka,mgahawa nk.Umeme upo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
2.5 Acres, Beach/Sandy plot for sale at Buyuni- Kigamboni* .(45km from Feri kigamboni, and 500mtrs from the sea).Has clear Local documents! 1 acre for Tsh 12M.Cont; 0683715304
0 Reactions
0 Replies
526 Views
Habari zenu ndugu zangu mabibi na mabwana, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vizuri kwa uwezo wake aliyejuu. Napenda kuwahabarisha kwamba nauza viwanja vyangu ambavyo vipo kata ya Wazo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Eneo liko Kimbiji-Kwa Moris,km30 kutoka Kigamboni.Ukubwa wake ni mita20 kwa22. Eneo liko karibu na barabara kuu na njia panda kwenda ufukweni(beach). Ni panafaa sana kibiashara,hasa kujenga...
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Back
Top Bottom