Mbweni Stand alone House, 3 bedrooms, Toilets, Kitchen and Dining, Parkin space up to 5 cars, Dawasa Water supply, Garden space,sqm 460, hati miliki ipo.
Price tshs.180million.
Dalali pia...
Nauza chainsaw
Model ni 272
Bei ni Million 1.3
Zipo mbili zote ni mpya
Panga lake ni inch 24
Linakata miti milaini na migumu yote na kupasulia mbao
Bei ya kila moja ni Million 1.
> Kimara Kona. Mwendo wa dakika 5 kwa miguu kutoka Morogoro Road
> Imefanyiwa ukarabati. Samani zimo
> Vyumba 10 vyote selfu; kaunta; chumba cha watumishi; public w/c nje
> Full ac, madirisha...
hii sofa ni balaa
inanesa nesa tu ina spring
yaan bado ina hata karatasi kwenye hizo gold
ni full white lether afu ngumu
ni L shaped na ina sehemu za kuchajia simu
bei yake mpya kabisa ni...
Kwa wale mnaopenda mziki mzito, nauza Subwoofer tajwa hapo juu, haina shida yoyote, kwa wale mnaohitaji real punch with pure bass inayikita kifuani ,mashine hiyo hapo 200watts rms ,ina coil ya...
Radio call mpya nimezifungua mwenyewe mbili kutest na box jingine sikuwai kulifungua.zipo jumla 4 kampuni ya Baofeng BF-88ST. Zina range ya mile 3.ziko poa kabisa zimenunuliwa Marekani.
Njoo...
Asalaaaaam Ndugu zanguni, leo nimeamua kuja kuwatangazia vijana wote wanaotaka kufungua Biashara ya Movie Store yani kwa movie za kiswahili na Movie za Kizungu Karibu sana nipo Nauza Mzigo kwa...
Je unahitaji kuimarisha ulinzi wa nyumbani kwako kwa kuweka alarm lakini
changamoto ni hela?
Kama una madirisha ya aluminium, Je umewahi kuibiwa simu kupitia
dirishani wakati wa usiku
Je unajua...
Eneo linaukubwa wa 33,260sqm. Eneo lina hati ya mradi wa shule/taasisi. Kuna majengo ya madarasa ma4 na ofisi 4 na nyumba ya vyumba vitatu
Eneo lipo mtaa wa pinda, dodoma mjini
Bei ni tsh 250m...
Rudisha heshima na adabu nyumbani kwako. Watu waache kukaa kizembezembe
Leo tunakuletea offer kabambe ya mwaka mpya
Camera ni elfu 30 ukichukua anzia pc 3. PC moja ni elfu 30
Ni rahisi kutumia na...
SILVER ORIGINAL ZA ITALY:⠀
MZIGO MPYA UMEINGIA: Zipo [emoji736]Cheni, [emoji736]Bracelets, [emoji736]Pete, [emoji736]Hereni, [emoji736]Rozari vitu vyote vinapatikana
•Tunauza Kwa Kila Gram 1...
Friessian cow
Bei Tsh 2,8m
Ni bonge la ng'ombe akitoka kuzaa ana litres 20+
Anayo mimba ina miezi mitatu
Kwa sasa ana litres 12 kwa siku
Amezaa mara 2 hii mimba ya 3
Location: Kivule , Dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.