Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

vipo vingi sana ukivifata shambani mwenyewe bei inakuwa poa zaidi ushindwe wewe tu kutokana na uwingi wake pia shamba lipo Ruvuma-Tunduru usafiri unafikika uhakika. 0758978546 kwa mawasiliano
2 Reactions
1 Replies
529 Views
Habari wanajamvi Kama kichwa cha habari kinavyosomeka Mimi ni mfugaji wa nguruwe napatikana maeneo ya Ntyuka Dodoma. Nauza dume kubwa kabisa kwa mahitaji ya kufuga au Kuchinja Umri: mwaka...
0 Reactions
7 Replies
936 Views
Je unapenda gari lako kuwa na muonekano mzuri na wa kijanja unaonendana na wakati wa sasa ? Kama ndivyo karibu ofisini kwetu tukutengenezee 3d plate kwa gharama nafuu
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Tunayo software ni nzuri na inarahisisha uendeshaji wa shule kitaluma na kimahesabu, na inasaidia kuwapa jumbe mbali mbali wazazi kuhusu wanao . Ninzuri sana maana inakusaidia kutopoteza muda pia...
0 Reactions
0 Replies
296 Views
Shamba heka 20 linauzwa Kikongo Mlandizi, ni sehemu nzuri sana kwa biashara na kilimo, eneo lina rotuba ya kutosha. Unaweza kulima mazao yote ya ukanda wa joto. Pia unaweza kuwekeza katika miradi...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari zenu waheshimiwa? Wasiliana nami nikutengenezee label (stika) za bidhaa zako kwa Tsh.25,000 tu! Utapata design nzuri na lebo 20 ambazo zimeshakatwa, wewe utabandika tu kwenye bidhaa zako...
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Bajaji iko kwenye hali nzuri, bei ni milioni moja na laki tatu tu. Iko Sinza, Tuwasiliane kwa namba 0688066177 kwa mwenye uhitaji, Ahsanteni
0 Reactions
2 Replies
629 Views
Ufanisi Company imesajiliwa kwa namba 545528 shughuri zake ni Umaliziaji wa nyumba (Finishing) Utengenezaji wa Samani (Furniture) na kuhifadhi na kutunza mazingira. Imekamilisha utengenezaji wa...
0 Reactions
1 Replies
424 Views
Nina kipawa cha kufanya kazi tofauti nipo dara mabibo...naombeni connection zenu wakuu 0748305003
0 Reactions
0 Replies
237 Views
MKUU IMARISHA USALAMA WA MALI ZAKO KWA KUFUNGA MFUMO SALAMA NA IMARA USIOTEGEMEZI, KARIBU SANA TUKUHUDUMIE KWA HUDUMA BORA ZENYE GHARAMA NAFUU: 1: Electric Fence Ni uzio unaopitisha mkondo wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ninaitaji gari aina ya Toyota Spacio new model bajeti yangu ni m 6.8 cash hata leo nakupa iwe namba D.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu. Ninauza Pumba laini ya mpunga kwaajili ya chakula cha kuku na mifugo mingine. Pia, Pumba hii unaweza tumia kutengenezea gypsum. Gunia la kilo 75 - 80 nauza kwa Tshs. 19,500/=...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya simu bora na kwa garama nafuu basi wasiliana na mimi kupitia namba 0763816065 Au fika dukani kwetu kariakoo aggrey opposite na kanisa la KKKT. Simu zetu ni bora sana na zenye...
1 Reactions
1 Replies
791 Views
Kitanda Godoro Jiko la gesi na mtungi Kiti Cha plastic Vyombo Neti Mapazia Kifaa Cha kuwekea vyombo Mabesi mawili ya nguo Jumla vyote = 400000tsh Number:255 675 124 851
1 Reactions
1 Replies
917 Views
Habari Kwa mmiliki wa suzuki carry, nahitaji kukodi kwa malipo ya mwezi au uniuzie kwa malipo ya kila mwezi.. Tutaandikishiana na dhamana zipo. Kama unayo unaweza kunichek DM tukaelewana...
0 Reactions
0 Replies
638 Views
Locationa: Dar es Salaam, Makuburi. Size ya kitanda: 5*6
1 Reactions
15 Replies
936 Views
Habari wanajukwaa nauza perfume za kike na za kiume kwa bei ya 40,000 tu na ni brand ya kizawa kabisa Inakaa muda mrefu na inaweza kusikika harufu yake kwa umbali mrefu,napatikana Dar es Salaam...
0 Reactions
0 Replies
898 Views
JE, UNATAFUTA BIDHAA ORIGINAL DAR? ANISUMA TRADERS NDIO SOLUTION YAKO SONY, HITACHI, PHILIPS, MOULINEX, TEFAL, VENUS, JBL, ELECTROLUX, ARISTON PIGA NO:0684 885 888 Tupo Mlimani City Mall DSM...
0 Reactions
1 Replies
584 Views
Karibuni pyramid works tuwafanyie metal works nzuri sana na zenye ubora wa hali ya juu. Tuna design na kutengeneza wenyewe na mteja anapata kazi yake kwa wakati. Tunapatikana Dar es salaam kwa...
0 Reactions
1 Replies
329 Views
Pata karatasi Mondi no 1 kwa shilingi 36,500/= Bahasha za Manila A4 1000pc@ 66,000/= Daftari pia zipo. Vitu vyote vipo kwa bei nzuri sana Namba zetu ni 0711972446 Karibuni sana TUNAPATIKANA...
4 Reactions
93 Replies
53K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…