Nauza kiwanja changu bei ni Milioni 3 kina ukubwa wa mita 20×20 Kiluvya Makurunge , umeme tayari umefika kwenye kiwanja, barabara inapitika wakati wote
0784 369336
Kiwanja kikubwa kinauzwa Mwanza chenye ukubwa wa zaidi ya square meter 4300.
Pia kina nyumba na miti mingi ya matunda na miti pori.
Kipo buzuruga Mwanza sehemu nzuri kwa kuwekeza real estate...
Habari zenu wadau?
Nauza eneo la ukubwa wa square meter 7081.9
Lipo km 16 kutoka Mtwara Mjini.
Lipo umbali wa meter 860 kutoka bara bara kuu ya MTWARA-NEWALA.
Ni katika kijiji cha MDUWI.
Kuna...
Habari JF,Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nauzwa kiwanjaa kikubwa ambacho tayari kimepimwa na kuwekewa mawe
Sifa za kiwanja:
Ukubwa ni 900M² (square meter 900)
Ardhi tambalale yenye...
Ukubwa wa Kiwanja: 1200 Mita za Mraba.
Kimepimwa: Ndiyo.
Kina Hati: Ndiyo.
Bei: Tshs Milioni 100 ( Maelewano yapo )
Eneo kilipo kiwanja: Salasala Karibu na kwa aliyekuwa Mkuu wa Majeshi Waitara...
kiwanja kipo maeneo ya ubungo kibangu karibu na kwa novo
size ya kiwanja ni nusu heka
bei ya kiwanja ni milion 35
kiwanja kina hati moja ivyo unakatiwa nusu heka hlf hati inafuatiliwa ya kwako tu...
Punguzo la beik kubwa
Karibu ujipatie viwanja vizuri maeneo ya Kibaha Misugusugu. Viwanja tambarare kabisa. Viwanja viko 2km kutoka Morogoro road. Huduma za kijamii zipo karibu
20kwa20 bei 1.8m...
-Kiwanja kipo Kiluvya Gogoni mbele ya Kibamba
-Kiwanja kinatazama Morogoro road
-Kina ukubwa wa square meter 4800s
-Kina hatimiliki
-Kinafaa kwa matumizi ya sheli,godown au kiwanda
bei : mil...
Kina ukubwa wa 2500 square meters
Kimepimwa
Kinafikika
Huduma za maji na umeme zipo. Bei elekezi 200mil.
Kwa habari zaidi kuhusu kiwanja hiki wasiliana nami kwa simu +255627660225
1. Viko umbali wa 4km kutoka lami au 4km kutoka Dar es Salaam Zoo au 14km kutoka Kibada centre ama 23km kutoka ferry
2. Vimepimwa tayari kwa hati
3. Unaweza lipia hadi hati halafu tukakutafutia...
Shamba la miti ya mbao ekari 80 linauzwa kijiji cha kibengu wilaya ya mufindi km 60 kutoka mafinga mjini, miti ina umri wa miaka sita.
Mahali panafikika kwa usafiri wa aina zote. Bei elekezi ni...
-Eneo lipo Goba karibu na njia nne,limeface barabara ya lami
-Ukubwa wa eneo ni square meter 2961
- Eneo lina hati kwa matumizi ya sheli
Bei: maelewano na mmiliki
mawasiliano: 0765494548
Kiwanja kizuri na kikubwa kinauzwa Tabata. Bei mil 11
Ukubwa ni 30*30
Huduma zote zipo maji na umeme.
Mita chache kutoka barabara kuu ya mawenzi.
*ardhi ina mchanga mwingi utapata was kujengea...
Hello Jf.
Kiwanja kiko katika mazingira mazuri mazuri kama kinavyoonekana
Kishapimwa, hati ndio inasubiriwa
Umeme upo, hatua chache huongezi nguzo
Maji yapo lakin chumvi. Dawasa inakuja soon...
Eneo lipo Kibada block 18,
Ukubwa wa eneo ni SQM 3500.
Eneo lemepimwa na lina hati kutoka wizara ya Ardhi.
Linafaa kwa matumizi mbali mbali, kama vile, Go down, Kiwanda kidogo, Ujenzi wa shule...
Viwanja hivi vinapatikana Vikindu, vimezungukwa na huduma muhimu kama maji, Umeme, Shule, Hospital n.k umbali kutoka Vikindu Stendi ni km 2
Ukubwa Futi 50 X 40 Milion 1.
Ukubwa Futi 50 X 80...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.