Smart bracelete
Ni Bracelete ambayo ni ya kisasa. Inapima mapigo ya moyo BP, Heart Rate
Ina hesabu Steps,Kms pia ni sport watch
Unapata Notification za Simu kama Whats App/Calls/Msg/Fb/Twitter...
Kwa mahitaji ya polythene tube(Viriba) vya size kuanzia Inch 2.5 hadi Inch 15 vya Gauge(G) zote zinazohitajika kwa uotesheaji wa miti ya matunda, mbao, maua N.k kwa Tsh 4000/= tu kwa KILO 1 Karibu...
Temperature controler thermostat kifaa kwa ajili ya utotoleshaji wa mayai.
UFANYAJI KAZI: kinacontrol temperature (halijoto) wakati wa utotoleshaji wa mayai ya
Kuku
Bata
Kanga N.K
ona...
Jipatie spy camera uweze kurekodi
matukio na ukaona kupitia simu yako
Camera ina sifa zifuatazo
Unaweza ukaunganisha camera na wifi ya simu yako ukaona kinachoedelea live kabisa
Au ukaweka...
Katika msimu huu wa kombe la dunia tumekuletea ofa ya wewe na familia yako kwa kupendezesha sebule yako na kuenjoy burudani ya mpira wa miguu.
Jipange maxuria kwa bei ya ofa ya kuanzia 150,000...
Nauza Mastervolt
Part no: 77031500
Type AC 1X6A
Bei: 450,000/-
Kwa kweli sijui Ina kazi gani sema imekuja na mzigo wa mtumba. Nim jaribu kucheki mtandaoni nijue Ina kazi gani ila bado sijajua.
Saa ni mpya kabisa Z51 smartwatch 8
Ina watch faces za apple watch series 8
Unapata na mikanda pair 2
Bei 45,000 Tshs
Maongezi yapo
Naomba radhi picha hazina ubora
Tuwasiliane 0693010101
NB...
Habari wana JF,
Nina mzigo wa hizi kitu nauza bei ya jumla, zipo 25 Kila moja inaenda 10,000...tu. Mzigo upo Dar es Salaam.
Kama upo interested nicheki 0783350399.
Fryer nzuri na imara za gas pamoja na umeme, fryer za gas zina kibiriti chake Bei:double gas fryer 325,000Tsh Double electric fryer:220,000Tsh Single electric fryer:130,000Tsh
Single gas...
Nauza mashine ya kusafishia carpet a.k.a Vacuum Cleaner. Mashine hii ni mpya kabisa na haijawahi kutumika hata mara moja.
Bei: 250,000
Location: Arusha
Mawasiliano: 0768444224
T-shirts/Shati/Jeans/Bukta Kali Sana Za Mtumba Grade One
Hizi Ni Nguo Ambazo;
1. Hazichuji rangi
2. Hazipauki haraka
3. Zinadumu kwa muda mrefu
4. Huwezi ukaivaa alafu ukapita mtaani ukakuta kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.